darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,931
Kabla ya kulaumu madiwani, ni vyema tukajua hiyo kampuni ilipata vipi hiko kiwanja au ilikipata kwa kutumia njia zipi halali. Kuna uwekano kabisa hiko kiwanja kilishakuwa katika ramani ya mpango mji. Na hilo wanalolisimamia ndio utekelezaji wake.
Inawezekana pia hiyo kampuni ilipata au ilivamia hilo eneo kwa kupitia mgongo wa nyuma au kwa kuhonga watu wachache katika Halmashauri iliyopita.
Inawezekana pia hiyo kampuni ilipata au ilivamia hilo eneo kwa kupitia mgongo wa nyuma au kwa kuhonga watu wachache katika Halmashauri iliyopita.