mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Sakata lake Liko hivi
QWIHAYA ni kiwanda Cha nguzo za Umeme ambacho tangu Rais, John Pombe Magufuli aagize kuanza kutumika kwa nguzo zinazozalishwa ndani ya nchi, kimefanikiwa kuongeza ajira 350 kutoka chini ya 50 kabla ya mwaka 2015, wengi kutoka ndani ya mji wa Mafinga, na Wilaya ya Mufindi kwa ujumla.
QWIHAYA General Enterprise's ni kiwanda kinachochangia asilimia 30 ya mapato katika halmashauri Mji wa Mafinga.
Pia, kiwanda kinachangia kukua kwa uchumi wa wakulima wa mazao ya misitu ambao huuza miti ya nguzo za Umeme.
Mpaka sasa QWIHAYA anamiliki viwanda Njombe, Kigoma na Kibaha ambako muda sio mrefu kitafunguliwa kuunga mkono sera ya TANZANIA YA VIWANDA.
BARAZA LA MADIWANI LA MJI WA MAFINGA LIMEMPA SIKU 14, AONDOKE KUPISHA ENEO LA GARAGE NA NYAMA CHOMA
QWIHAYA -- kampuni hii imekuwepo takriban miaka 3 ikifanya Kazi katika eneo hilo na ikiwa inasambaza nguzo hizo za umeme kwa mikoa yote kwa kipindi chote hicho.
Wakati haya yakifanyika uongozi wa Halmashauri ikiwemo baraza hilo la madiwani la kipindi hicho lilikuwepo na lilikuwa likiona haya.
Kwani baada ya kuwepo kwa baraza JIPYA kumekuwepo na sitofaham ambayo inakuwa kam muwekezaji amevamia eneo, Hana Mamlaka wala hatakiwi zaidi ya kuondoka.
Nyuma ya hii Kuna nini na kwanini imekuwa kauli ya kutoa masaa 24 imekuja ya siku 14 wakati huo wakitaka aondoke lkn Kuna kuwa na kauli ya tukae meza ya mazungumzo
Kwanini mwenyekiti wa Halmashauri alishindwa ama imeshindikana kukaa na wataalamu wake katika Halmashauri na kuyajenga kuliko kutoa matamko na masaa na siku ya kumwondoa muwekezaji?.
Je, tumeshapima athari itakayojitokeza pindi muwekezaji atakapo kuwa anahangaika na shughuli za kuhama kwake
Je, tunatambua pindi atakapo anza Kazi za kuondoka itafanya uzalishaji usimame kwanza
Kwanini isifanyike utaratibu wa kuondoa hao ambao BADO hawajafanya uwekezaji mkubwa na kma Kuna gharama basi muwekezaji akachangia na kumbadilishia matumizi yeye akaendelea na uzalishaji.
Nijambo linafanywa na Halmashauri lkn ni la kitaifa zaidi kutokana na shughuli za kampuni yenyewe.
Wenye Mamlaka wataamua sie watoa maoni na watazamaji lkn ndio walaji wa mwisho tukumbuke na hili.
Kwa Mwendo huu Tanzania ya Wiwanda Tutafanikiwa?
Rais Magufuli anasema Hili, wa chini yake Hili au ndio Tuendelee Kujifukiza!
QWIHAYA ni kiwanda Cha nguzo za Umeme ambacho tangu Rais, John Pombe Magufuli aagize kuanza kutumika kwa nguzo zinazozalishwa ndani ya nchi, kimefanikiwa kuongeza ajira 350 kutoka chini ya 50 kabla ya mwaka 2015, wengi kutoka ndani ya mji wa Mafinga, na Wilaya ya Mufindi kwa ujumla.
QWIHAYA General Enterprise's ni kiwanda kinachochangia asilimia 30 ya mapato katika halmashauri Mji wa Mafinga.
Pia, kiwanda kinachangia kukua kwa uchumi wa wakulima wa mazao ya misitu ambao huuza miti ya nguzo za Umeme.
Mpaka sasa QWIHAYA anamiliki viwanda Njombe, Kigoma na Kibaha ambako muda sio mrefu kitafunguliwa kuunga mkono sera ya TANZANIA YA VIWANDA.
BARAZA LA MADIWANI LA MJI WA MAFINGA LIMEMPA SIKU 14, AONDOKE KUPISHA ENEO LA GARAGE NA NYAMA CHOMA
QWIHAYA -- kampuni hii imekuwepo takriban miaka 3 ikifanya Kazi katika eneo hilo na ikiwa inasambaza nguzo hizo za umeme kwa mikoa yote kwa kipindi chote hicho.
Wakati haya yakifanyika uongozi wa Halmashauri ikiwemo baraza hilo la madiwani la kipindi hicho lilikuwepo na lilikuwa likiona haya.
Kwani baada ya kuwepo kwa baraza JIPYA kumekuwepo na sitofaham ambayo inakuwa kam muwekezaji amevamia eneo, Hana Mamlaka wala hatakiwi zaidi ya kuondoka.
Nyuma ya hii Kuna nini na kwanini imekuwa kauli ya kutoa masaa 24 imekuja ya siku 14 wakati huo wakitaka aondoke lkn Kuna kuwa na kauli ya tukae meza ya mazungumzo
Kwanini mwenyekiti wa Halmashauri alishindwa ama imeshindikana kukaa na wataalamu wake katika Halmashauri na kuyajenga kuliko kutoa matamko na masaa na siku ya kumwondoa muwekezaji?.
Je, tumeshapima athari itakayojitokeza pindi muwekezaji atakapo kuwa anahangaika na shughuli za kuhama kwake
Je, tunatambua pindi atakapo anza Kazi za kuondoka itafanya uzalishaji usimame kwanza
Kwanini isifanyike utaratibu wa kuondoa hao ambao BADO hawajafanya uwekezaji mkubwa na kma Kuna gharama basi muwekezaji akachangia na kumbadilishia matumizi yeye akaendelea na uzalishaji.
Nijambo linafanywa na Halmashauri lkn ni la kitaifa zaidi kutokana na shughuli za kampuni yenyewe.
Wenye Mamlaka wataamua sie watoa maoni na watazamaji lkn ndio walaji wa mwisho tukumbuke na hili.
Kwa Mwendo huu Tanzania ya Wiwanda Tutafanikiwa?
Rais Magufuli anasema Hili, wa chini yake Hili au ndio Tuendelee Kujifukiza!