mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Asabu gani utamshikisha na kwa sheria ipi? Hiyo ndo maana halisi ya demokrasia kama mnavyojiita au ulidhani neno demokrasia tafsiri yake ni ipi?Dah! Huyu anapaswa kushikishwa adabu. Kwa nini aligombea kama alijua hicho anachokisema?