Mufindi: Mbunge Cosato Chumi, atoa msaada wa gari ya kubebea Wagonjwa

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,853
MBUNGE wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi ametoa msaada wa gari la kubeba wagonjwa kwa ajili ya matumizi ya kituo cha afya cha Igohole- Mufindi. https:
11c39b00ed5645f267bc1807d7af1c10.jpg
ca0600d1502d3e76c740f9242edcc00c.jpg
438671a1016478bdbd74bae8055427fa.jpg
 
Yule mbunge namkubali sana, nakumbuka kipindi cha kampeni 2015 alituletea jezi za mpira & mpira chuoni kwetu
 
Hilo gari la serikali afu kwani lazima uje utuandikie humu hizo habari za kieneo imekaa kibinafsi zaidi acheni KIKI
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom