Muendelezo wa ripoti ya CHADEMA kuhusu shambulio la Mbowe ni upi?

Kipangaspecial

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
19,408
25,926
Ndugu wananchi wenzangu wa Jamhuri ya muungano wa nchi mbili, natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.

Siku ya leo tujadiliane kuhusu kutotolewa kwa ripoti kamili kuhusu shambulio la Mh Mbowe.

Kama tunakumbuka wiki mbili kama sio moja , mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Mh Freeman Mbowe, inadaiwa na chama chake kuwa alishambuliwa na watu wasiojulikana.

Wakati sakata hilo likiendelea upande wa pili yaani wa CCM ukiongozwa na Job Ndugai aliyekuwa spika wa bunge la 11 waliuambia umma wa Tanganyika kwamba mh Mbowe ni mlevi na tukio lililompata ni matokeo ya mlevi.

Chadema kupitia Katibu mkuu wa chama walioita press na kuelezea kwamba ni kweli Mh Mbowe alivamiwa na alikuwa na watu kadhaa eneo la tukio.

Sasa ni muda kidogo umepita ambapo mh Mbowe ametolewa hospitali, na tunasikia akiendelea na shughuli za chama. Lakini kinachoshangaza ni CHADEMA kukaa kimya baada ya kuelezea nini hasa kilitokea siku hiyo.

Tukichukua ile taarifa ya jeshi la polisi inayosema kuwa mhe alilewa na kuwafanya wananchi wengi waamini Mbowe alilelewa hadi kufikia hatua ya kudondoka.

Je, CHADEMA hawaoni umuhimu wa kuondoa sintofahamu iliyopo miongoni mwa jamii kuhusu tukio hili?
 
Hawana! Kwanza wautoe wapi? Unataka Mbowe aumbuke zaidi? Maana pale polisi walimsitiri kwa baadhi ya mambo!

Watu wana hadi video ila wamehifadhi kwa matumizi ya baadae!

Makamanda wenyewe wameshashtukia janja ya Mbowe, ndio maana unaona hakuna anaehangaika na hilo suala.
 
Muendelezo ndio huo wanautafuta kwa house girl wanamshikilia karibia wiki sasa, wanataka awaambie wanachotaka wao (alilewa chakari), kuambiwa ukweli hawataki (hakuwa amelewa)
 
Hope watakuwa wamewaachia vyombo vya dola vifanye kazi then badae watoe ripoti. Tusubirie tu.
 
Kina Mnyika ndio walitoa taarifa ile na sio muhanga wa tukio, sasa inawezekana yeye mwenyewe Mbowe aliwaita akawaambia "Jamani potezeeni haya mambo, mi nilikuwa 16 GB nikashindwa kujikontroo"

Akakaita na haka ka mama ka ubalozini akakaambia "Nashukuru sana mama kwa kuonesha unajali na kuamua kuanza kulipazia sauti suala langu, lakini kwa nchi yetu hii kinapokaribia kipindi cha uchaguzi huwa kuna matukio mazito yanayotokea lakini ni katika kutafuta KIKI na huruma ya wananchi tu"......

Hapo kale ka mama kakabaki mdomo wazi

KIKI ndio nini

Kakamuuliza.....

Ni namna ya mtu kutengeneza jambo kubwa linalovuta akili na usikivu wa watu kwa kutangazwa na kuandikwa sana kwenye vyombo vya habari.

Kakachoka zaidi kusikia ufafanuzi huo.... Kwa hiyo na wewe ulikuwa unatengeneza KIKI......

Kakajikuta kanauliza

Mbowe akiwa ameshachoshwa na maswali yake, akaguna kidogo huku akitabasamu kivivu, akaangalia pembeni kwa sekunde kadhaa......

Ile inaitwa kuchangamkia fursa ndani ya tatizo (we nae umenichosha bana na umbeya wako)

Akatoa majibu mawili, moja la mdomoni lingine la moyoni, akakaangalia usoni akaona bado jibu halijakatosha.

Sikuvamiwa na mtu, sikuvunjwa mguu na mtu wala sikujivunja mguu...... Akanyamaza kidogo kuona kama anayoyaongea yanafika alipotarajia..... Kisha akaendelea

Ni kweli nilikuwa niko tungi sana siku hiyo, nikashindwa kujikontroo nikateleza nikaanguka mguu ukavunjika, wafuasi wangu kwa kuwa wanajua utaratibu wetu basi nao wakaamua kutambaa na BITI....

Akajibu kwa kirefu huku akijitahidi kukaa sawa pale kitandani.

Mambo yangekuwa mazuri kwa KIKI hii....akaendelea...... Lakini uratibu wake haukuwa mzuri ndio maana ikashitukiwa haraka sana.


Mh.......

Kale ka mama kakaguna huku kakiwa na sura ya aibu na moyoni kanawaza (yani nashupalia mambo yasiyonihusu kumbe wenyewe wana mipango yao, nitaiweka wapi sura yangu mie)

Basi sawa mi nilikuja kukujulia hali na pia kujua taarifa ya uchunguzi imefikia wapi

Kakasema kwa sura iliyofuta tashwishwi zote.

Nashukuru sana na unakaribishwa wakati mwingine (una kiherehere sana we nenda bana hakuna aliyekuita hapa)

Chairman akatoa majibu mawili, moja la kusikiwa na wote lingine la kujiskia mwenyewe tu.

Ndio maana siku kadhaa baadae yule mama akamuomba bosi wake akampangie majukumu mengine sehemu nyingine maana hadi anaona aibu kuishi na kufanya kazi hapa nchini.
 
Kina Mnyika ndio walitoa taarifa ile na sio muhanga wa tukio, sasa inawezekana yeye mwenyewe Mbowe aliwaita akawaambia "Jamani potezeeni haya mambo, mi nilikuwa 16 GB nikashindwa kujikontroo"

Akakaita na haka ka mama ka ubalozini akakaambia "Nashukuru sana mama kwa kuonesha unajali na kuamua kuanza kulipazia sauti suala langu, lakini kwa nchi yetu hii kinapokaribia kipindi cha uchaguzi huwa kuna matukio mazito yanayotokea lakini ni katika kutafuta KIKI na huruma ya wananchi tu"......

Hapo kale ka mama kakabaki mdomo wazi

KIKI ndio nini

Kakamuuliza.....

Ni namna ya mtu kutengeneza jambo kubwa linalovuta akili na usikivu wa watu kwa kutangazwa na kuandikwa sana kwenye vyombo vya habari.

Kakachoka zaidi kusikia ufafanuzi huo.... Kwa hiyo na wewe ulikuwa unatengeneza KIKI......

Kakajikuta kanauliza

Mbowe akiwa ameshachoshwa na maswali yake, akaguna kidogo huku akitabasamu kivivu, akaangalia pembeni kwa sekunde kadhaa......

Ile inaitwa kuchangamkia fursa ndani ya tatizo (we nae umenichosha bana na umbeya wako)

Akatoa majibu mawili, moja la mdomoni lingine la moyoni, akakaangalia usoni akaona bado jibu halijakatosha.

Sikuvamiwa na mtu, sikuvunjwa mguu na mtu wala sikujivunja mguu...... Akanyamaza kidogo kuona kama anayoyaongea yanafika alipotarajia..... Kisha akaendelea

Ni kweli nilikuwa niko tungi sana siku hiyo, nikashindwa kujikontroo nikateleza nikaanguka mguu ukavunjika, wafuasi wangu kwa kuwa wanajua utaratibu wetu basi nao wakaamua kutambaa na BITI....

Akajibu kwa kirefu huku akijitahidi kukaa sawa pale kitandani.

Mambo yangekuwa mazuri kwa KIKI hii....akaendelea...... Lakini uratibu wake haukuwa mzuri ndio maana ikashitukiwa haraka sana.


Mh.......

Kale ka mama kakaguna huku kakiwa na sura ya aibu na moyoni kanawaza (yani nashupalia mambo yasiyonihusu kumbe wenyewe wana mipango yao, nitaiweka wapi sura yangu mie)

Basi sawa mi nilikuja kukujulia hali na pia kujua taarifa ya uchunguzi imefikia wapi

Kakasema kwa sura iliyofuta tashwishwi zote.

Nashukuru sana na unakaribishwa wakati mwingine (una kiherehere sana we nenda bana hakuna aliyekuita hapa)

Chairman akatoa majibu mawili, moja la kusikiwa na wote lingine la kujiskia mwenyewe tu.

Ndio maana siku kadhaa baadae yule mama akamuomba bosi wake akampangie majukumu mengine sehemu nyingine maana hadi anaona aibu kuishi na kufanya kazi hapa nchini.
Kumbe mambo ndio yapo hivyo
 
“ Ni upepo tu utapita “, aliyasema JK.
Mwanasiasa yoyoye mjanja anayewajua vizuri Watanzania huwa anatumia vizuri sana kauli hii.
 
Ndugu wananchi wenzangu wa Jamhuri ya muungano wa nchi mbili, natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.

Siku ya leo tujadiliane kuhusu kutotolewa kwa ripoti kamili kuhusu shambulio la Mh Mbowe.

Kama tunakumbuka wiki mbili kama sio moja , mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Mh Freeman Mbowe, inadaiwa na chama chake kuwa alishambuliwa na watu wasiojulikana.

Wakati sakata hilo likiendelea upande wa pili yaani wa CCM ukiongozwa na Job Ndugai aliyekuwa spika wa bunge la 11 waliuambia umma wa Tanganyika kwamba mh Mbowe ni mlevi na tukio lililompata ni matokeo ya mlevi.

Chadema kupitia Katibu mkuu wa chama walioita press na kuelezea kwamba ni kweli Mh Mbowe alivamiwa na alikuwa na watu kadhaa eneo la tukio.

Sasa ni muda kidogo umepita ambapo mh Mbowe ametolewa hospitali, na tunasikia akiendelea na shughuli za chama. Lakini kinachoshangaza ni CHADEMA kukaa kimya baada ya kuelezea nini hasa kilitokea siku hiyo.

Tukichukua ile taarifa ya jeshi la polisi inayosema kuwa mhe alilewa na kuwafanya wananchi wengi waamini Mbowe alilelewa hadi kufikia hatua ya kudondoka.

Je, CHADEMA hawaoni umuhimu wa kuondoa sintofahamu iliyopo miongoni mwa jamii kuhusu tukio hili?
Yafaa kama upo ushahidi madai ya mbowe ni uzushi afunguliwe mashitaka mahakamani iwe funzo kwa wanasiasa wenye tabia ya uzushi wa aina hiyo. Maadui zetu wanaowatuma baadhi ya wapinzani wametangaza habari hiyo ya kushambuliwa mbowe kama ukweli wa uhakika.
 
Ndugu wananchi wenzangu wa Jamhuri ya muungano wa nchi mbili, natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.

Siku ya leo tujadiliane kuhusu kutotolewa kwa ripoti kamili kuhusu shambulio la Mh Mbowe.

Kama tunakumbuka wiki mbili kama sio moja , mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Mh Freeman Mbowe, inadaiwa na chama chake kuwa alishambuliwa na watu wasiojulikana.

Wakati sakata hilo likiendelea upande wa pili yaani wa CCM ukiongozwa na Job Ndugai aliyekuwa spika wa bunge la 11 waliuambia umma wa Tanganyika kwamba mh Mbowe ni mlevi na tukio lililompata ni matokeo ya mlevi.

Chadema kupitia Katibu mkuu wa chama walioita press na kuelezea kwamba ni kweli Mh Mbowe alivamiwa na alikuwa na watu kadhaa eneo la tukio.

Sasa ni muda kidogo umepita ambapo mh Mbowe ametolewa hospitali, na tunasikia akiendelea na shughuli za chama. Lakini kinachoshangaza ni CHADEMA kukaa kimya baada ya kuelezea nini hasa kilitokea siku hiyo.

Tukichukua ile taarifa ya jeshi la polisi inayosema kuwa mhe alilewa na kuwafanya wananchi wengi waamini Mbowe alilelewa hadi kufikia hatua ya kudondoka.

Je, CHADEMA hawaoni umuhimu wa kuondoa sintofahamu iliyopo miongoni mwa jamii kuhusu tukio hili?
Hilo ni jukumu la polisi, Chadema ni chama cha siasa kinatakiwa kulindwa hapo mlinzi anaweza kuwa na kigugumizi.
 
Yafaa kama upo ushahidi madai ya mbowe ni uzushi afunguliwe mashitaka mahakamani iwe funzo kwa wanasiasa wenye tabia ya uzushi wa aina hiyo. Maadui zetu wanaowatuma baadhi ya wapinzani wametangaza habari hiyo ya kushambuliwa mbowe kama ukweli wa uhakika.
Kwa jinsi Mhe Mbowe alivyoamua kukaa kimya kwenye suala sensitive kama hili, ni dalili tosha huenda yanayosemwa yana ukweli kiasi fulani.
 
Back
Top Bottom