anti-negative energy
Senior Member
- Apr 13, 2019
- 114
- 71
jamani wana forum mnisaiudie nilitaka nijue ni kwa nn huyu mwanzilishi wa jamii forum yupo kotini, je ni kweli ana makosa au amebambikiwa kesi, na serikali inaitazama jamii forum kwa jicho gani, je inasupport movement za uhuru wa kuongea? ni hayo tu wapendwa