MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
wakisikilizwa tumeliwa......kuwekewa vikwazo mbali mbali kimataifa !?
Yaani kisa nyie m'mefunguwa kesi, basi watu wengine wataabike ?!....damnnn !
wakisikilizwa tumeliwa......kuwekewa vikwazo mbali mbali kimataifa !?
Yaani kisa nyie m'mefunguwa kesi, basi watu wengine wataabike ?!....damnnn !
hii kesi imeishia wapi mboni kimyaaaTaarifa ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano katika Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha, Ombi no.9 lililowasilishwa na waombaji 40,000. linalohusiana na kuzuiliwa serikali zote mbili za Tanzania kutokufanya mabadiliko ya katiba za nchi ,kati ya Zanzibar na Tanzania.
Kutokufanyika kwa kura ya maoni juu ya suala la Muungano, kuwekewa vikwazo mbambali serikali ya Tanzania kimataifa katika nyanja mbali mbali na nchi za Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwengu mzima.
Pamoja na mashirika ya kimataifa hadi kesi ya msingi itakapo malizika kusikilizwa na kutolewa hukumu, Ombi hili litasikilizwa mbele ya Majaji 5 siku ya Jumatano tarehe 6/6/2018 hapo Arusha saa 3:30 asubuhi. kuhusu ombi la kesi kuja kusikilizwa Zanzibar bado halijapangwa ingawa tumewasilisha marekebisho lakini mahakama italipanga kulisikiliza tena baada ya kulisikiliza ombi hili no,9.
Tunawaombeni Wazanzibari nyote tuungane kwa kulifuatilia shauri hili kwa manufaa ya nchi yetu,tafadhali sana kwa uzalendo wako ewe Mzanzibari tunahitaji mchango wako wa fikra n.k.
ili kuweza kutimiza lengo letu la kuikombowa nchi yetu katika ukoloni mambo leo wa Taifa la Tanganyika.
Tafadhali share na wengine taarifa hii.
# ZanzibarKwanza
# AjendaYaZanzibar
Habari zaidi, soma=>Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi mahakamani kupinga muungano
View attachment 782025
imeishia vipi mbona kimyanafuatilia kwa ukaribu
kesi imefikia waoi mbona hatuoni muendelezoTuko pmj bhana zanzibar kwanza mipasho baadae
dhulma mbaya......kuwekewa vikwazo mbali mbali kimataifa !?
Yaani kisa nyie m'mefunguwa kesi, basi watu wengine wataabike ?!....damnnn !
baada ya mtandao huu kupigwa pin sijapata update yoyotekesi imefikia waoi mbona hatuoni muendelezo
ok mtandao uko poa sasa wekeni mrejesho tujue kinachobaada ya mtandao huu kupigwa pin sijapata update yoyote
....hii kesi ni matter of sovereign, hawatakaa watoboe ! Hii inaweza kuvunja hata Jumuiya.ok mtandao uko poa sasa wekeni mrejesho tujue kinacho
kama jumuia haina umuhim ni sawa tu....hii kesi ni matter of sovereign, hawatakaa watoboe ! Hii inaweza kuvunja hata Jumuiya.
....hakana atakae tekeleza hukumu yake.kama jumuia haina umuhim ni sawa tu
hakuna anayesapoti kuvunjika kwa muungano hasa wazenji kwa kuwa wao ndo wanaitegemea Tanzania bara kwa mambo mengi tu hiyo mara nyingi ni mihemko ya watu wachache vibaraka wa sultan anayetaka kuichukua tena Zanzibar kwani haamini kama nchi kachukuliwa kizembe namna ile..
Kama itakuwa na manufaa huo utawala wa Oman kwa wa zanzibar, bac ni bora, walipo itawala waarabu zanzibar ilikuwa nchi, yenye maendeleo makubwaYaani siamini kuwa tuko katika mwaka 2018 na bado kuna watu bado wanaamini kasumba hii kuwa kuna nchi fulani inataka kuitawala zanzibar. Yaani hivi inaingia akilini kweli kuwa jumuia ya kimataifa ikae iwaachie nchi ya Oman irudi zanzibar na kuifanya zanzibar himaya yao na kuwatawala wazanzibari?
Hebu nikuulize wewe una ushahidi gani madhubuti unao onyesha kuwa Oman au nchi nyengine yeyote ile duniani imeonyesha nia au ina nia ya kuitawala zanzibar?