Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
- Thread starter
- #41
Wewe unaishi kwa kubuni!
Bado kidogo utasema mimi ni mganga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kidogo utasema mimi ni mganga!
Unahangaika sana mzee ,tangu Jana tumekutana kwenye thread nyingine unatetea hao police.
Nilicho kiona kwako ni kuwa, ww ni polisi unatetea polisi wenzako mnaipiga madili pamoja.
Au basi,
Kuna ndugu yako yupo kwenye huo msala na yy ndo anakuweka mjini hvo una wasiwasi na hatma yako.
Point yako ya kusema ww ni mpenda haki haiwezi kutumika hapa kwavile sote tunajua sehemu pekee haki inapatikana ni mahakamani na tiari kesi iko huko,sasa swali langu ww unataka kipi kifanyie ili uone watuhumiwa wanatendewa haki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app