Muelekeo wa kozi ya Aircraft Eng Tanzania

Tatizo ni ada.ada kwa hii kozi iko juu sana kuliko coz zingine za uhandisi.
Habari wadau wote wa elimu.
Swala langu ni kuhusu hii kozi ya AIRCRAFT ENGINEERING inaonekana itakua na soko kubwa mpk kufikia 2025-2030. Huu mtazamo wangu ni kutokana na haya yafuatayo;-
1. Leo kwenye hotuba ya Rais ameainisha kwamba kwenye hii kozi mwaka huu imetoa wahitimu 16 tu. Hivyo inaonekana watu hawajaijua au hawajajikita kuisomea wakiamini kwa TZ itakua ngumu kupata kazi zake.
2. Mimi naamini hao wahitimu 16 woote watapata ajira kwenye sekta hiyo kutokana na kutokuwepo kwa upinzani kwenye kozi hii.
3. Kuwepo na chuo kimoja tu kinachotoa kozi hii ambacho ni NIT hivyo kupelekea kudahili wanafunzi wachache tofauti na kozi zingine kama comp eng ambayo inapatikana vyu vingi kama MUST, DIT n.k
4. Ugumu wa kozi hii ambapo watu wengi hudhani kuwa ni mojawapo ya kozi ngumu sana.
5. Kununuliwa kwa ndege nyingi kwa miaka ijayo.
6. Pia mh. Rais amesema, kutokana na ndege hizo kuhitaji maintanance kila baada ya miezi kadhaa hivyo serikali itahitaji kutumia kiasi kikubwa cha fedha takribni dola million 3 kuzipeleka nje ya nchi kutokana na UPUNGUFU WA WATAALAMU KATIKA FANI HII.

Hivyo hapa ameahidi kukiboresha chuo cha NIT kimiundombinu na kuwapatia ndege ndogo kwa ajili ya mafunzo ya vitendo(KWA SABABU WATAANZISHA KOZI YA URUBANI MIAKA IJAYO)

Mimi nimeona hivyo kwa mtazamo wangu, karibuni wadau wote wa elimu tulijadili hili.
 
By the way ukisomea uwalimu utakufa maskini, tuna, mshahara laki tano, ndio kazi gani hiyo
Mshahara hauwezi kukufanya kuwa tajiri hats ungelipwa milioni 100 kwa wiki. Mipango yako ndio itakuondoa kwenye umaskini. Mshahara ni kichocheo tu a.k.a catalyst ya uwekezaji au biashara yako
 
Waambie ukweli.
Mshahara hauwezi kukufanya kuwa tajiri hats ungelipwa milioni 100 kwa wiki. Mipango yako ndio itakuondoa kwenye umaskini. Mshahara ni kichocheo tu a.k.a catalyst ya uwekezaji au biashara yako
 
Mshahara hauwezi kukufanya kuwa tajiri hats ungelipwa milioni 100 kwa wiki. Mipango yako ndio itakuondoa kwenye umaskini. Mshahara ni kichocheo tu a.k.a catalyst ya uwekezaji au biashara yako
Mimi nimetoka familia ya kawaida sana ila katika chaguzi juu ya course ya kusomea chuo kikuu sikuwahi fikilia kusomea ualimu, najua fika ningefosiwa kusoma ualimu nisingekuwa mwalimu bora.Ifike wakati tuseme ualimu ni taaluma inayohitaji watu makini na wenye maono na sio kila mtu akimbilie tuu kisa ni mtt wa mkulimu na hii ndo inapelekea kukosa walimu bora
 
Mimi nimetoka familia ya kawaida sana ila katika chaguzi juu ya course ya kusomea chuo kikuu sikuwahi fikilia kusomea ualimu, najua fika ningefosiwa kusoma ualimu nisingekuwa mwalimu bora.Ifike wakati tuseme ualimu ni taaluma inayohitaji watu makini na wenye maono na sio kila mtu akimbilie tuu kisa ni mtt wa mkulimu na hii ndo inapelekea kukosa walimu bora
This is absolutely fine
Ila huwa najitahidi sana maishani mwangu kutoongozwa na theory.
Kiukweli hilo unaloliongea ni theory kwa asilimia za kutosha tu. Twende kwenye uhalisia sasa, hivi unafikiri wanafunzi wanashindwa au hawana uwezo wa kusoma kozi hizo au ni tatizo la kiuchumi kugharamia makozi hayo???
MTU akifikiria ada ya Chuo na uhakika wa ajira woteee wanajitosa ualimu.
 
Back
Top Bottom