johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,567
Rais Magufuli alitoa fursa ya wiki moja kwa wahujumu uchumi na watakatisha fedha wakiri makosa yao ili DPP na mahakama ziweze kuwafikiria.
Tunakumbusha tu kuwa ule muda ndio unazidi kuyoyoma watu wasije kujilaumu baadae kwa kushindwa kutumia fursa.
Maendeleo hayana vyama!
Tunakumbusha tu kuwa ule muda ndio unazidi kuyoyoma watu wasije kujilaumu baadae kwa kushindwa kutumia fursa.
Maendeleo hayana vyama!