Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 35
Ninapendekeza katika Katiba mpya suala la Mbunge kuwa kwenye uongozi kwa vipindi zaidi ya viwili lisipewe nafasi. Mbunge ahudumie wananchi wake kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano. Na akishakuwa mbunge kwa vipindi hivyo haruhusiwi tena kugombea. Hili ni kwasababu wengi wameonyesha kuwa wanakalia uzoefu hakuna la maana wanalowawezesha wananchi. Wengine nao wapewe nafasi ya Ubunge.