KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Heshima kwenu wanabodi katika miezi ya karibuni issue ya dr. Uli imetawala vichwani mwa watu wengi.pamoja na issue yenyewe ikigubikwa na sintofahamu kuanzia utekwaji,uundwaji wa tume na ushaidi wa tukio lenyewe.wote tunajua wananchi hawajafuraishwa na tume iliyoundwa na kova kwa misingi kuwa siyo huru coz baadhi ya wajumbe wa tume hiyo ni wahisiwa lakini kova amehamua kuweka pamba masikio.Maswali ambayo bado yanagonga vichwa wa walio wengi ni:
1. Tume ilikuwa na Adidu rejea(TOR)?
2. Muda wa Ukomo wa tume hiyo unaisha lini?
3. Issue ya utekaji wa ulimboka ipo mahakamani?
4. Wale wanaohusishwa na tukio wanapogundulika wanatangazwa?au tume wanaendelea na uchunguzi zaidi ili watoe majumuiosho?
5. Hayo matokeo yatakuwa ya tume na aliyeichagua au ya wananchi?
Mytake. Indepent Tume ya wananchi kupitia kwa Kubenea imeshamaliza kazi timely.tunasubiri ya kova
1. Tume ilikuwa na Adidu rejea(TOR)?
2. Muda wa Ukomo wa tume hiyo unaisha lini?
3. Issue ya utekaji wa ulimboka ipo mahakamani?
4. Wale wanaohusishwa na tukio wanapogundulika wanatangazwa?au tume wanaendelea na uchunguzi zaidi ili watoe majumuiosho?
5. Hayo matokeo yatakuwa ya tume na aliyeichagua au ya wananchi?
Mytake. Indepent Tume ya wananchi kupitia kwa Kubenea imeshamaliza kazi timely.tunasubiri ya kova