Napenda kusema hivi kwa kua muda wa CCM wabunge wake na madiwani wake umefika kwani kwa Mpwapwa ikiwa ndio mahali au sehemu ya mwanzo wa ukombozi huo kwani kwenye wilaya hii kuna mawaziri wawili lakini maendeleo sifuri barabara kutoka wilayani kwenda mkoani haipitiki kipindi cha mvua maji tabu lakini kuna mawaziri na kuna watu wana jiita wana CCM.
Mawaziri wetu na wabunge wetu wa mpwapwa mjini na kibakwe muda wa nyie kuenda bungeni una tosha malizieni miaka yenu miwili iliyo baki alafu sisi tuta tafuta mwakilishi mpiya na hatatoka ccm atatoka chama kingine tutacho kijua sisi nasasa ivi hatutadanganyika na majina wala tishet zenu na kofia zenu na ishia hapa lakini nita weka ahadi zenu na utekelezaji wake mwisho wa wiki muone ndugu zetu kwasababu gani tuna sema CCM basi!
Mawaziri wetu na wabunge wetu wa mpwapwa mjini na kibakwe muda wa nyie kuenda bungeni una tosha malizieni miaka yenu miwili iliyo baki alafu sisi tuta tafuta mwakilishi mpiya na hatatoka ccm atatoka chama kingine tutacho kijua sisi nasasa ivi hatutadanganyika na majina wala tishet zenu na kofia zenu na ishia hapa lakini nita weka ahadi zenu na utekelezaji wake mwisho wa wiki muone ndugu zetu kwasababu gani tuna sema CCM basi!