Habari wakuu,ni miaka 2 na mwezi 1 tangu nimejifungua mtoto wangu wa kwanza, kwa njia ya upasuaji,kwa sasa nahitaji mtoto wa pili,je ni muda sahihi kiafya
Nadhani ni muda sahihi. Ila uhakika na majibu ya kitaalam zaidi unaweza yapata kwa madaktari walio ktk hospitali zilizo jirani nawe au hata manesi wazoefu.
Nadhani ni muda sahihi. Ila uhakika na majibu ya kitaalam zaidi unaweza yapata kwa madaktari walio ktk hospitali zilizo jirani nawe au hata manesi wazoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.