Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Ngoja nifuatilie namm kujua zaidi hapa nimepata msingiAkasome Kanuni tena the lastest ambayo imeweka mpaka torch tunazopigwa nazo barabarani. Sheria mama yenyewe imesema tu lazima uwe na leseni lakini kanuni imeenda zaidi ya hapo.