Mganda kiongozi wa kikosi cha Mapinduzi ya Zanzibar. Wakati anampindua Mwarabu, Hayati Karume alikuwa Tanganyika amejificha. Okello aliongoza mapinduzi na akatangaza baraza la mapinduzi kisha akamtangaza Karume kama Rais wa Zanzibar.
Usiku wa Mapinduzi Karume hakuwepo Zanzibar wakati JOHN OKELLO akiongoza kikosi cha askari kuelekea Ikulu ya Mwarabu.
Historia ya Zanzibar imemsahau huyu shujaa.
Usiku wa Mapinduzi Karume hakuwepo Zanzibar wakati JOHN OKELLO akiongoza kikosi cha askari kuelekea Ikulu ya Mwarabu.
Historia ya Zanzibar imemsahau huyu shujaa.