Unazania waziri mkuu kumuondoa ni kama vil;e kumuondoa Zitto ?
Kwa ujumla ripoti ya selelii inatoa taswira ya uwingi wa wakiukaji wakubwa wa haki za binadamu tulionao.....kwa mwavuli wa serikali.......
Unazania waziri mkuu kumuondoa ni kama vil;e kumuondoa Zitto ?
Kutokana na riport ya kamati maalumu kuchunguza mwenendo wa oparation maalumu ya kutokomeza ujangili kufichua uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu ni dhahiri sasa muda wa Mh. Pinda mtoto wa mkulima kuwa waziri mkuu unafika ukingoni, hii imejidhihirisha kutokana na michango ya wabunge mbalimbali na iwapo mh hatajiuzulu atakua amepoteza imani kubwa ya utendani wake kwa wananchi.
unazania waziri mkuu kumuondoa ni kama vil;e kumuondoa zitto ?
Hebu tuelezeeni kilichojiri huko maana wengine tulikuwa mbali na tv
Unazania waziri mkuu kumuondoa ni kama vil;e kumuondoa Zitto ?
Jua hata lisizame huyo mtu wamtoe
Ni kwamba: bungeni siku ya leo walikuwa wanapokea taarifa ya Kamati ya Maliasili ndipo baada ya mawasilisho ya kamati ikafuata muda wa wabunge kuchangia. Kutokana na ukatili uliotendwa na waliopewa dhamana kwe Operation Tokemeza Ujangiri. Kwa kuwa watu wameuwawa, watu wamebakwa, watu wamelazimishwa kuzini na wanyama waliokufa, mifugo imeuwawa nk. Ndipo wabunge wakachangia kwa uchungu huku wakimkalia kooni Waziri mkuu achie ngazi. Ila Mh. Msigwa akaenda mbali na mwisho akawataka Mh. Nchimbi, Mh. Pinda, Waziri wa Ulinzi na waziri wa Maliasili waachie ngazi pia wamuombe ladhi Mh. Maige kwa kumuwajibisha bila hatia.
Unazania waziri mkuu kumuondoa ni kama vil;e kumuondoa Zitto ?