security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Muda umefika kwa wananchi kuwapima wabunge wao bila kujali Itikadi za vyama waiteni majimboni waeleze walichowafanyia na kama hawaeleweki waambieni wazi 2015 kura zenu wamekosa....
Wananchi mnapaswa kuelewa wabunge wengi wanafanya siasa ni njia ya kuingiza kipato na wamewasahau kabisa...muda ndio huu sasa na mkikosea hapa hamtarekebisha tena.
Wananchi mnapaswa kuelewa wabunge wengi wanafanya siasa ni njia ya kuingiza kipato na wamewasahau kabisa...muda ndio huu sasa na mkikosea hapa hamtarekebisha tena.