Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Hivi muda huu wa takribani mwaka 1 na miezi 10 uliobaki kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu unaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo ili kujaza nafasi ya kiti cha ubunge kilichoachwa wazi na marehemu Mgimwa ambae alikuwa ni mbunge wa kuchaguliwa kupitia chama cha mapinduzi(CCM)?
Kwakweli kuna umuhimu wa kubadili sheria ili kuepuka gharama za uchagzi mdogo kwa nchi kama hii liyokubuhu kwa umasikini.
Kwakweli kuna umuhimu wa kubadili sheria ili kuepuka gharama za uchagzi mdogo kwa nchi kama hii liyokubuhu kwa umasikini.