Hapana, Katiba iseme kuwa Rais atateua mbunge kutoka chama kile kile ambacho kimedhurika, yaani sawa tu kama vile alivyomteua Mbatia. Mbatia ni Mbunge wa kuteuliwa na ni wa NCCR Mageuzi, siyo wa CCM.
Yaani rais akiteulie chama kingine? hizo porojo ni sawa na shehe kuwateulia mchungaji wa kanisa wakristo!