Muda uliobaki unaruhusu kufanyika uchaguzi mdogo kujaza nafasi ya ubunge iliyoachwa wazi?

Hivi muda huu wa takribani mwaka 1 na miezi 10 uliobaki kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu unaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo ili kujaza nafasi ya kiti cha ubunge kilichoachwa wazi na marehemu Mgimwa ambae alikuwa ni mbunge wa kuchaguliwa kupitia chama cha mapinduzi(CCM)?

Kwakweli kuna umuhimu wa kubadili sheria ili kuepuka gharama za uchagzi mdogo kwa nchi kama hii liyokubuhu kwa umasikini.

Hivi ndiyo vitu kati ya mambo makubwa sana na ya msingi ambayo inabidi yawe addressed kwenye katiba mpya, kwa sababu chaguzi ndogo zinatugharimu sana kifedha kama nchi. Haya majimbo sasa inabidi yawe yanakuwa under trusteeship ya wabunge wa kuteuliwa wawili au mmoja, wayashilkilie hadi uchaguzi mkuu mwingine utakapofika. Na kwa kuwa kwenye katiba ijayo panaweza pasiwe na viti maalum, ingekuwa vizuri kama Rais atapewa mamlaka ya kuteua watu kushika majimbo haya (mmoja au wawili), na watu hawa wathibitishwe na Bunge la JMT baada ya Rais kuwa amefanya uteuzi wao. Yaani chaguzi ndogo zifutwe kabisa kwa sababu zimetugharimu mno mpaka sasa hivi. Mimi kwa kweli huwa nikisikia uchaguzi mdogo, huwa napata mawazo na bashasha utadhani hela inayokwenda kutumika kule inatoka mfukoni mwangu, huwa tunatumia hela nyingi mno kwenye chaguzi ndogo ukilinganisha proportion yake na fedha ile ambayo huwa tunatumia kwenye uchaguzi mkuu
 
Hivi ndiyo vitu kati ya mambo makubwa sana na ya msingi ambayo inabidi yawe addressed kwenye katiba mpya, kwa sababu chaguzi ndogo zinatugharimu sana kifedha kama nchi. Haya majimbo sasa inabidi yawe yanakuwa under trusteeship ya wabunge wa kuteuliwa wawili au mmoja, wayashilkilie hadi uchaguzi mkuu mwingine utakapofika. Na kwa kuwa kwenye katiba ijayo panaweza pasiwe na viti maalum, ingekuwa vizuri kama Rais atapewa mamlaka ya kuteua watu kushika majimbo haya (mmoja au wawili), na watu hawa wathibitishwe na Bunge la JMT baada ya Rais kuwa amefanya uteuzi wao. Yaani chaguzi ndogo zifutwe kabisa kwa sababu zimetugharimu mno mpaka sasa hivi. Mimi kwa kweli huwa nikisikia uchaguzi mdogo, huwa napata mawazo na bashasha utadhani hela inayokwenda kutumika kule inatoka mfukoni mwangu, huwa tunatumia hela nyingi mno kwenye chaguzi ndogo ukilinganisha proportion yake na fedha ile ambayo huwa tunatumia kwenye uchaguzi mkuu

upo sawa ila kwa hali ya kisiasa ilivyo wabunge wa upinzani wataweza kuuawa ili rais achague wabunge wa chama chake, hapo itakuwa haitofautiani na mkuu wa wilaya au wa mkoa ambaye anateuliwa na rais
 
upo sawa ila kwa hali ya kisiasa ilivyo wabunge wa upinzani wataweza kuuawa ili rais achague wabunge wa chama chake, hapo itakuwa haitofautiani na mkuu wa wilaya au wa mkoa ambaye anateuliwa na rais

Hapana, Katiba iseme kuwa Rais atateua mbunge kutoka chama kile kile ambacho kimedhurika, yaani sawa tu kama vile alivyomteua Mbatia. Mbatia ni Mbunge wa kuteuliwa na ni wa NCCR Mageuzi, siyo wa CCM.
 
Hapana, Katiba iseme kuwa Rais atateua mbunge kutoka chama kile kile ambacho kimedhurika, yaani sawa tu kama vile alivyomteua Mbatia. Mbatia ni Mbunge wa kuteuliwa na ni wa NCCR Mageuzi, siyo wa CCM.

Kama sijakosea Mbatia ni mwanachama wa NCCR lakini mbunge wa CCM
 
Mtashika hilo jimbo kwa muda mpaka 2015 kama watu wa vyama vyote mtanikubalia
 
Hivi ndiyo vitu kati ya mambo makubwa sana na ya msingi ambayo inabidi yawe addressed kwenye katiba mpya, kwa sababu chaguzi ndogo zinatugharimu sana kifedha kama nchi. Haya majimbo sasa inabidi yawe yanakuwa under trusteeship ya wabunge wa kuteuliwa wawili au mmoja, wayashilkilie hadi uchaguzi mkuu mwingine utakapofika. Na kwa kuwa kwenye katiba ijayo panaweza pasiwe na viti maalum, ingekuwa vizuri kama Rais atapewa mamlaka ya kuteua watu kushika majimbo haya (mmoja au wawili), na watu hawa wathibitishwe na Bunge la JMT baada ya Rais kuwa amefanya uteuzi wao. Yaani chaguzi ndogo zifutwe kabisa kwa sababu zimetugharimu mno mpaka sasa hivi. Mimi kwa kweli huwa nikisikia uchaguzi mdogo, huwa napata mawazo na bashasha utadhani hela inayokwenda kutumika kule inatoka mfukoni mwangu, huwa tunatumia hela nyingi mno kwenye chaguzi ndogo ukilinganisha proportion yake na fedha ile ambayo huwa tunatumia kwenye uchaguzi mkuu

Demokrasia ina gharama zake na hii ni mojawapo. Hatuwezi kuzikimbia. Sikubaliani kutokuwepo chaguzi ndogo na wala kuchaguliwa mwakilishi wangu na mtu mwingine, hata Kama ni Rais au bunge. Pia si sahihi yanayopendekezwa katika Katiba mpya kuwa atachukuliwa mtu wa pili katika chama ambacho aliyeacha nafasi (ama kwa kufariki au sababu ingine yoyote)ya ubunge alitoka. Si sahihi kwa sababu watu hawachagui tu chama Bali pia uwezo wa mtu huyo na wala waliomchagua mtu huyo siyo wanachama wa chama hicho pekee.

Lakini pia ikumbukwe kuwa chaguzi ndogo zinawasaidia wananchi (na chama) kuona ikiwa chama husika kinaendelea kutimiza matarajio ya wapiga kura - yaani ni Kama kura ya maoni Kati ya vipindi vya uchaguzi.
 
Demokrasia ina gharama zake na hii ni mojawapo. Hatuwezi kuzikimbia. Sikubaliani kutokuwepo chaguzi ndogo na wala kuchaguliwa mwakilishi wangu na mtu mwingine, hata Kama ni Rais au bunge. Pia si sahihi yanayopendekezwa katika Katiba mpya kuwa atachukuliwa mtu wa pili katika chama ambacho aliyeacha nafasi (ama kwa kufariki au sababu ingine yoyote)ya ubunge alitoka. Si sahihi kwa sababu watu hawachagui tu chama Bali pia uwezo wa mtu huyo na wala waliomchagua mtu huyo siyo wanachama wa chama hicho pekee.

Lakini pia ikumbukwe kuwa chaguzi ndogo zinawasaidia wananchi (na chama) kuona ikiwa chama husika kinaendelea kutimiza matarajio ya wapiga kura - yaani ni Kama kura ya maoni Kati ya vipindi vya uchaguzi.

Huwezi ukawa na uwezo wa ku-meet gharama za "emergent events" kama untimey deaths au Hurricanes hata Marekani wenyewe nadhani hawana uwezo huo. Unachotakiwa kufanya ni kujua kuwa hayo matukio yapo na kutafuta njia mbadala ya kuyakabili using the possible minimum cost. Haki ya mpiga kura inabaki palepale kwamba hapo awali alipewa nafasi yake ya kidemokrasia akachagua kiongozi aliyemhitaji, lakini sasa bahati mbaya Mwenyezi Mungu kamchukua, hivyo mpiga kura naye inabdi akubaliane na hali hiyo kwamba kwa upade mmoja, Serikali haina uwezo wa kuzuia kifo cha binadamu kama Mungu ameamua kumchukua, na vile vile haina pesa za kutosha kugharimia chaguzi ndogo kwa kila inapotokea bahati mbaya ya namna hiyo kwa upande mwingine. Kwa hiyo ukija kuangalia checks and balances katika hili, ni bora zaidi, jimbo lililokosa Mbunge kutokana na dharula kama hii likashikiliwa na Mbunge mwingine pasipo kupitia uchaguzi mdogo, kuliko kuingia kwenye uchaguzi mdogo na wa ghrama mno, kisa eti haki ya mpiga kura. Mpiga kura apewe haki yake moja ndani ya miaka mitano, na ikitokea bahati mbaya ndani ya mda huo, akubaliane na utaratibu mwingine wa kumpata kingozi wake ambao si lazima umhusishe tena yeye moja kwa moja kwa kupiga kura. Ndiyo demokrasia hiyo. Jamani tuwe tunaionea huruma serikali wakati mwingine nakuona huruma wa pesa ya nchi
 
uchaguzi hautofanyika ikiwa imebaki miezi 6 kabla ya uchaguzi mkuu kwahiyo kuna muda mrefu sana mpk uchaguzi mwingine kwahiyo uchaguzi ni lazima ufanyike

Acha uongo politiki soma katiba inasemaje ni miezi 18 kabla yauchaguzi.
 
Hebu kwenda huko na wewe, kwahiyo kama ni msiba ndo mambo mengine hayafanyiki wala hayajadiliki! Tutokee hapa. Tunasema uchaguzi mdogo ni gharama kwa taifa

Ni Kweli
Tunafaham Kati ya Vitu ambavyo CCM wanaviogopa Kwa Sasa kuliko Chochote Duniani ni Chaguzi ndogo. Kitu hiki Kwao Kwa Sasa ni Homa ya Dunia, presha zapandaje! Zashukaje!

Lakini Kwa Sasa nduguzanguni ni saa ya Msiba, embu mambo ya ubinaadam tuyatangulize Na Siasa zifuatie baadae.. Ni wazi from 2014 Hakuna Kiti CCM itajitwalia Hilo liko wazi but for this time twendeni msibani kwanza..
 
:A S crown-1:
Huwezi ukawa na uwezo wa ku-meet gharama za "emergent events" kama untimey deaths au Hurricanes hata Marekani wenyewe nadhani hawana uwezo huo. Unachotakiwa kufanya ni kujua kuwa hayo matukio yapo na kutafuta njia mbadala ya kuyakabili using the possible minimum cost. Haki ya mpiga kura inabaki palepale kwamba hapo awali alipewa nafasi yake ya kidemokrasia akachagua kiongozi aliyemhitaji, lakini sasa bahati mbaya Mwenyezi Mungu kamchukua, hivyo mpiga kura naye inabdi akubaliane na hali hiyo kwamba kwa upade mmoja, Serikali haina uwezo wa kuzuia kifo cha binadamu kama Mungu ameamua kumchukua, na vile vile haina pesa za kutosha kugharimia chaguzi ndogo kwa kila inapotokea bahati mbaya ya namna hiyo kwa upande mwingine. Kwa hiyo ukija kuangalia checks and balances katika hili, ni bora zaidi, jimbo lililokosa Mbunge kutokana na dharula kama hii likashikiliwa na Mbunge mwingine pasipo kupitia uchaguzi mdogo, kuliko kuingia kwenye uchaguzi mdogo na wa ghrama mno, kisa eti haki ya mpiga kura. Mpiga kura apewe haki yake moja ndani ya miaka mitano, na ikitokea bahati mbaya ndani ya mda huo, akubaliane na utaratibu mwingine wa kumpata kingozi wake ambao si lazima umhusishe tena yeye moja
kwa moja kwa kupiga kura. Ndiyo demokrasia hiyo. Jamani tuwe tunaionea huruma serikali wakati mwingine nakuona huruma wa pesa ya nchi
Gharama unazozihisia siyo kubwa kiasi hicho kuwanyima watu haki Yao ya kuchagua mwakilishi wanayemtaka. Vyama vya siasa si vyote vitakuwa na utaratibu wa kuwa na wanaowania nafasi hiyo kwa wingi kupata mwakilishi mbadala atakayewafaa watu wa jimbo husika. Kwa sasa tunajificha nyuma ya gharama kwa sababu tunafanya bila udhibiti. Nina hakika ukiwekwa mfumo mzuri hizi gharama hazitakuwa kubwa kiasi hicho. Muhimu sitaki kuchaguliwa mwakilishi bila Mimi kuwa na kauli.
 
:A S crown-1:
Gharama unazozihisia siyo kubwa kiasi hicho kuwanyima watu haki Yao ya kuchagua mwakilishi wanayemtaka. Vyama vya siasa si vyote vitakuwa na utaratibu wa kuwa na wanaowania nafasi hiyo kwa wingi kupata mwakilishi mbadala atakayewafaa watu wa jimbo husika. Kwa sasa tunajificha nyuma ya gharama kwa sababu tunafanya bila udhibiti. Nina hakika ukiwekwa mfumo mzuri hizi gharama hazitakuwa kubwa kiasi hicho. Muhimu sitaki kuchaguliwa mwakilishi bila Mimi kuwa na kauli.

We cheza tu wakati nchi nzima huwa inakusanyika kwenye jimbo moja, halafu hapo uniambie kuwa gharama ni kidogo, na kama ni udhibit utazidhibiti vipi hadi ziwe kama unavyotaka?. Unakumbuka juzi juzi pale Igunga?
 
ZZK havuliwi uanachama na mtu yeyote bali anavuliwa na kamati kuu ambayo ni chombo rasmi cha chama kwa masrahi ya chama

Nilikuwa nakukumbusha tu make najua unaelewa haya mambo.

Huyo atakuwa mbunge w mahakama anavyopenda posho, nq ukubwa eti yeye ni mwenyekiti wa PAC kwani wengine hawawezi yeye akivuliwa ubunge! ZZK anawadhalilisha wabunge wenziye
 
Hivi ndiyo vitu kati ya mambo makubwa sana na ya msingi ambayo inabidi yawe addressed kwenye katiba mpya, kwa sababu chaguzi ndogo zinatugharimu sana kifedha kama nchi. Haya majimbo sasa inabidi yawe yanakuwa under trusteeship ya wabunge wa kuteuliwa wawili au mmoja, wayashilkilie hadi uchaguzi mkuu mwingine utakapofika. Na kwa kuwa kwenye katiba ijayo panaweza pasiwe na viti maalum, ingekuwa vizuri kama Rais atapewa mamlaka ya kuteua watu kushika majimbo haya (mmoja au wawili), na watu hawa wathibitishwe na Bunge la JMT baada ya Rais kuwa amefanya uteuzi wao. Yaani chaguzi ndogo zifutwe kabisa kwa sababu zimetugharimu mno mpaka sasa hivi. Mimi kwa kweli huwa nikisikia uchaguzi mdogo, huwa napata mawazo na bashasha utadhani hela inayokwenda kutumika kule inatoka mfukoni mwangu, huwa tunatumia hela nyingi mno kwenye chaguzi ndogo ukilinganisha proportion yake na fedha ile ambayo huwa tunatumia kwenye uchaguzi mkuu
sisi tunawaza kupunguza madaraka makubwa kwa rais wewe unamuongezea!
Tunalipa kodi kugharamia demokrasia!
Fedha sio tatizo...tunazo nyingi tatizo wasimamizi ni wabovu ndio maana tunataka wapigwe chini.
 
sisi tunawaza kupunguza madaraka makubwa kwa rais wewe unamuongezea!
Tunalipa kodi kugharamia demokrasia!
Fedha sio tatizo...tunazo nyingi tatizo wasimamizi ni wabovu ndio maana tunataka wapigwe chini.

Madaraka ya Rais unayapunguza kwa kumwondolea uteuzi wa watu ambao ni "key" kwenye system ya Serikali ya nchi. Mbunge hayuko serikalini, na watu kama hawa ndiyo Rais inabidi aachiwe aendelee kuwateua watu ambao hata wakiamua kumgeuka hawezi kuwafanya kitu chochote, kutuopunguzia gharama zisizokuwa za msingi. Umesahau juzi juzi moto aliouwasha Mbatia kuhusu elimu hadi leo moshi wake bado unafuka? Mbatia si ni Mbunge mteule? Aliteuliwa na nani? Viongozi wa aina hii (wabunge) ndiyo Rais inabidi aachiewe aendelee kuwatua.
 
Madaraka ya Rais unayapunguza kwa kumwondolea uteuzi wa watu ambao ni "key" kwenye system ya Serikali ya nchi. Mbunge hayuko serikalini, na watu kama hawa ndiyo Rais inabidi aachiwe aendelee kuwateua watu ambao hata wakiamua kumgeuka hawezi kuwafanya kitu chochote, kutuopunguzia gharama zisizokuwa za msingi. Umesahau juzi juzi moto aliouwasha Mbatia kuhusu elimu hadi leo moshi wake bado unafuka? Mbatia si ni Mbunge mteule? Aliteuliwa na nani? Viongozi wa aina hii (wabunge) ndiyo Rais inabidi aachiewe aendelee kuwatua.

kwa kutumia reference ya Mbatia umeharibu hoja yako!
 
kwa kutumia reference ya Mbatia umeharibu hoja yako!

Kama unaweza kusema hivyo basi nafurahi kwa sababu inaonyesha umeshapaona pale ambapo ilitakiwa ipite lakini kwa bahati mbaya ika-diverge. Nina uhakika unapajua na ukipafanyia kazi hoja inanyooka sawia na kuwa in harmony with both of us and everyone else!
 
Back
Top Bottom