Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Kwa vigeza vyako tafta sex dols wamekidhi vifungu vya mashti yako!!!
 
Ana mtoto, amelelewa kwa deko Sana
Kila mtu kuna kitu anakipenda uko sahihi kabisa kwenye vigezo vyako ila tu nikukimbushe.

1: wanawake wenye hivyo vigezo ni wachache sana na akiwa navyo basi atakuwa na udhaifu mwingine
2.wanawake wenye uhitaji kama wako wameshapitia mengi wanatamani kutulia wako 30-35
3: no 8, 9 itakusumbua kidogo unatakiwa ulegeze kidogo maana hata wewe una mapungufu
4: ilibidi uweke sifa zako maana hata humu wapo sio wote wanaweza kuongea humu.
5: usichague sana maana huyo ni mkeo sio mke wa show off.la muhimu akuheshimu wewe na ndugu zako. Na akupende mengine yote ni bonus.

All the best.
 
Kila mtu kuna kitu anakipenda uko sahihi kabisa kwenye vigezo vyako ila tu nikukimbushe.

1: wanawake wenye hivyo vigezo ni wachache sana na akiwa navyo basi atakuwa na udhaifu mwingine
2.wanawake wenye uhitaji kama wako wameshapitia mengi wanatamani kutulia wako 30-35
3: no 8, 9 itakusumbua kidogo unatakiwa ulegeze kidogo maana hata wewe una mapungufu
4: ilibidi uweke sifa zako maana hata humu wapo sio wote wanaweza kuongea humu.
5: usichague sana maana huyo ni mkeo sio mke wa show off.la muhimu akuheshimu wewe na ndugu zako. Na akupende mengine yote ni bonus.

All the best.
Thanks
 
Mkuu kuna uzi humu mwenzako anatukana wanawake wa Kagera wote, kisa mwwanamke wake mmoja wa Kagera tu kamsaliti.
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Ww una sifa gani? Isiwe wale watu wanataka kula bata kila siku, wakati ni mzee wa buku buku tu
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante

Broo naomba nikushauli kitu tena kwa umakini mkubwa sana

Ikoo hivi unaweza pata mwanamke ambae ana sifa zote unazozitaka lakini moyoni mwake akawa hajakupenda ila akajikuta anaolewa na wewe kwa sababu ya ndoa broo ninachokwambia utakuja kujizalishia maisha ya majuto na maumivu makali ktk maisha yako .........

Ushauli wangu kama unataka kuoa basi owa mtu anayekuelewa na anayekupenda
 
Dah,hyu mhaya wa wapi jaman afu anaishi nchi za nje(misifa hyo)ila nshomile ndugu yangu kwa staili yako ya kutafta mchumba basi jiandae kulia daily,ila naona vigezo vingi kiasi unanifanye nihis unamatatizo binafsi ila unaficha
 
Kutokana na story yako inaonekana una matatizo fulani fulani yalomfanya hyo bibie aingie mtini pole muyoza
 
Uandishi wako tu inaonyesha una dharau alafu ni mtu flani una ka ushamba flani ivi ambapo ni ngumu kupata mwanamke anayejielewa ila utapata danga ty. Pasi ya kusafiria nacho ni kigezo

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Kigezo hiki kimenishangaza sana.
Awe na wazazi wote wawili!
Kuna wengine hawajawahi kuwaona wazazi toka wanazaliwa hivyo hawana ruhusa ya kuolewa?

Ushauri...Omba sana Mungu akupe mke, mke mwema ni nani awezaye kumjua?
 
Back
Top Bottom