Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, natamani kuwa na mwenza lakini kila nikiwaza jinsi ya kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu.
Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,
Niliwahi kuapa kwamba sitakuja kutafuta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndio hawa hawa wa mtandaoni!
Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndio maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kupanua wigo wa suala hili,
Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa, sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa Kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastani sitaki model, lakini angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitaki mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhimu sana
Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,
Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,
Niliwahi kuapa kwamba sitakuja kutafuta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndio hawa hawa wa mtandaoni!
Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndio maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kupanua wigo wa suala hili,
Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa, sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa Kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastani sitaki model, lakini angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitaki mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhimu sana
Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,
Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante