Hii ni kweli na muda huo ambao unakuwa umeshtuka ndio muda wezi wanaupenda kwasababu wengi wanaolala saa sita au Saba wanakuwa kwenye usingizi mzito."Ukilala saa nne usiku basi ni lazima utaamka tu ikifika saa nane usiku".
Ni kauli nilizoambiwaga na mwalimu wetu wa madrasa na nilipofanya utafiti mdogo nimethibitisha maneno hayo ni kweli.
Kwanini... Mimi sijui!
Sabaya ameshalala muda huu!!! Sisi bado tunachat!!! Ndo maisha yalivyo!!"Ukilala saa nne usiku basi ni lazima utaamka tu ikifika saa nane usiku".
Ni kauli nilizoambiwaga na mwalimu wetu wa madrasa na nilipofanya utafiti mdogo nimethibitisha maneno hayo ni kweli.
Kwanini... Mimi sijui!