super model
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 307
- 321
Kinachonisibu ni kwamba naishi na
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia kama zipi mkuu manake anapenda kujiona special snAnakupenda sema shida hukumsoma tabia mapema......
Nashukuru kwa busara zako ila mkuu kilichoniuma ni pale alipoondoka nakwenda kulala huko huko hiyo tabia cyo mara ya kwanza mkuuMume na mke wake, Ndoa na changamoto zake. Ikiwa mmefunga ndoa kanisani mimi sidhani kama itakua busara kupotezeana kwa changamoto hizo. Cha msingi mtafute suluhu mambo yaishe. Bado sijaona sababu ya kukatisha ndoa hiyo.
Ni bora akikasirika ujishushe la sivyo mtaachana siku sio nyingi. Akipanda shuka then baadae akipoa mwanzishie.
Halafu huyo hana hasira mbona hata kakofi hakukulamba. Njoo huku uone maasai tunavyokasirika. Nikikasirika siwezi kuongea na ukiwa karibu yangu shika uso lolote linaweza kutokea
Mkuu ckuzote hasira ni hasra cyo busra kwa mwanaume kupaniki vitu vidogo hapo hajengi ila anabomoaNi bora akikasirika ujishushe la sivyo mtaachana siku sio nyingi. Akipanda shuka then baadae akipoa mwanzishie.
Halafu huyo hana hasira mbona hata kakofi hakukulamba. Njoo huku uone maasai tunavyokasirika. Nikikasirika siwezi kuongea na ukiwa karibu yangu shika uso lolote linaweza kutokea
Asante mkuu kwa ushauri wakoKaeni muondoe tofauti zenu. hukufanya vizuri ulipaamua kulipiza. Cha msingi ungemwelewesha tu angekuelewa. kama mkiendelea kuishi namna hiyo hamtafika mbali. jipangeni, mmoja akikosea inabidi awe mpole tu
Nashukuru mkuu kwa ushauri wakoKiapo ndo kinakurudisha uyasahau " tutaishi pamoja kwenye shida na raha" kaza moyo THINGS WILL GET BETTER huko mbeleni
Njoo kwangu tuungane cuz na mimi wife ananizingua sana.Kinachonisibu ni kwamba naishi na mme wangu na tumefunga nae ndoa asa huyu mme ni mtu mwenye hasira za karibu sana jana kuna jambo lake aliniletea nami kama mke wake nikamshauri vzr tu daah kumbe mwenzangu apendi kukosolewa yy anapenda kusifiwa tu ata kama cyo kitu cha kusifiwa akawa kanimind kanitolea maneno mabya sana yakuumiza moyo nami kama binadamu nikamlipizia asa kwa hasira kaondoka nyumbn hakurudi na anatabia mkigombna tu anataka aondoke alale huko huko kiukweli moyo wangu unaniuma sana cjui kama safari yangu na huyu jamaa kama tutafika mwisho hebu hebu nishaurin huyu mtu anaupendo na mm au nimpotezee nifanye tu maisha yangu
Nimekuelewa mkuuMapenzi cyo kulipiziana visasi mkuu
Ukweli upi mkuu kwa maelezo niliyotoa hapo nimekosea nn tenaWew ndo huna upendo nae,jipe wew shauri na ukweli unaujua,..