The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,329
Tufikirie: tutafikia nchi ya viwanda miaka ijayo ila kwa sasa its so much cheaper to use somebody factory huko china na nchi nyinginezo uka produce na ukafanya biashara yako vizuri tuu hapa Tanzania bila jasho, tukubaline watu wengi duniani wanafanya, mfanyabiasha anatengeneza tuu name tag/brand ana order china anauza...
Ninaishauri serikali inunue ndege hata tatu kubwa za mizigo zitakazotusaidia wafanyabiashara ndogo ndogo tunaomiliki viwanda(vya wachina huko china) kufanya kazi kwa haraka na unafuu, imagine unaagiza mzigo unachukua wiki 2 ama 3, mpaka mwezi, ninajua airbone transport ni ghali ila kwa namna fulani ita save time, kuliko kutumia meli...haswa tukitumia shirika letu la ndege
Tutauza bidhaa zetu nje, za mazao, miti, bahati n.k na kuingiza ndani kwa unafuu bidhaa tunazohitaji zikiwemo machines za viwanda n.k kwa uharaka, pia tunaweza kusafirisha bidhaa hizo katika nchi nyingine ukanda huu wa SADC
Ninaishauri serikali inunue ndege hata tatu kubwa za mizigo zitakazotusaidia wafanyabiashara ndogo ndogo tunaomiliki viwanda(vya wachina huko china) kufanya kazi kwa haraka na unafuu, imagine unaagiza mzigo unachukua wiki 2 ama 3, mpaka mwezi, ninajua airbone transport ni ghali ila kwa namna fulani ita save time, kuliko kutumia meli...haswa tukitumia shirika letu la ndege
Tutauza bidhaa zetu nje, za mazao, miti, bahati n.k na kuingiza ndani kwa unafuu bidhaa tunazohitaji zikiwemo machines za viwanda n.k kwa uharaka, pia tunaweza kusafirisha bidhaa hizo katika nchi nyingine ukanda huu wa SADC