Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,930
Karibu mzee wangu.Glenn,
Ahsante.
Ushauri mdogo tu:
Jitahidi u balance habari, utupe historia ya wale wa upande wa pili wa imani hata kama ina ukakasi kwako
Karibu mzee wangu.Glenn,
Ahsante.
Binafsi Mzee Mohammed Said sikubaliani naye katika mambo mengi tu. Hili siyo baya kabisa, wanadamu hatuwezi kukubaliana katika kila kitu.Mzee muungwana sana na msema kweli.
Japo inaonekana kuwa anaegemea dini flani lakini nani asiyekuwa na upande?
Waga? Jinga Sana weila we mzee mbona waga muongo Sana?unapata faida Gani?
Glenn,Karibu mzee wangu.
Ushauri mdogo tu:
Jitahidi u balance habari, utupe historia ya wale wa upande wa pili wa imani hata kama ina ukakasi kwako
hongera sana mzeee nami nilipitia kidogo thread zako zilinifanya niinuke zaidi kimaarifa hongera sana ila naomba tender ya kukuchapia hicho kitabu chako mzeeMUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF
Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.
Ameifanyia Tanzania makubwa.
JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.
Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.
Sina cha kuwalipa.
MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.
View attachment 1977049
Nyonzo...Mzee Mohammed Said Facebook naonekana professor kwa ajili ya kuiba madini kwako,, siku wakinigundua sijui itakuwaje
Lady...hongera sana mzeee nami nilipitia kidogo thread zako zilinifanya niinuke zaidi kimaarifa hongera sana ila naomba tender ya kukuchapia hicho kitabu chako mzee
nimeona hapo juu kuna mkuu mmoja kasema utakapoandika kitabu chako usisite kumpatiaLady...
Kitabu kipi unachokusudia kukichapa?
Lady...nimeona hapo juu kuna mkuu mmoja kasema utakapoandika kitabu chako usisite kumpatia
ndio mm nikasema mkuu kama utaandika kitabu chako basi mm nikaomba tenda ya kukuchapia sijui umeshanielewa hapa
OK USINISAHAULady...
Nimeelewa.
Mungu akubarikiMUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF
Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.
Ameifanyia Tanzania makubwa.
JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.
Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.
Sina cha kuwalipa.
MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.
View attachment 1977049
Hakika unastahili certificate of appreciation. Thanks alot Mzee Said 🙏MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF
Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.
Ameifanyia Tanzania makubwa.
JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.
Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.
Sina cha kuwalipa.
MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.
View attachment 1977049
Lady...O
OK USINISAHAU
Nna...Hongera Mello kwa kumtunuku huyu kaka mkubwa,anastahili tuzo hizi vilevile pamoja na hadithi nzuri lugha anayotumia ni halisi.
Last...Hakika unastahili certificate of appreciation. Thanks alot Mzee Said 🙏
Dal...Hongella sana mzee mohamed,, umesitahili.
Kwako mkuu melo big up sana,, umempa heshima kubwa sana mzee wetu, Mungu akurinde.