Muccobs (chuo kikuu kishiriki moshi)mnatunyanyasa wazazi

nguluvisonzo

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
515
71
Nimekuwa nikifanya utafiti katika vyuo vyetu hapa nchini lakini kwa hili mnalolifanya nia dhambi kubwa kwetu sisi wazazi,kutokana na serikali kuanzisha bodi ya mikopo sio wote wanapata,sisi wazazi tunaamua kulipa kutokana mishahara yetu kidogo kidogo ndani ya semista moja tunakuwa tumekamilisha ada ya semista hatuna uwezo wa kulipa kwa mkupuo,hawa jamaa wanawasumbua vijana wetu kwa hili,lingine ambalo nia baya zaidi ni pale tunapolazimishwa kulipia matibabu ya TZS 100,000. hili halikubaliki kama nimemkatia bima ya afya kuna haja gani ya kulipa tena chuoni?huu si wizi au mimi mzazi wake ninamlipia ada na wala haitoki serikalini na ni mkazi wa Moshi na kijana anakaaa nyumbani kwanini nilipe huku huduma za afya zinagharamiwa na mzazi wake huu sio wizi
 
ndo inchi yetu ilivyo funika kombe mwanaharamu apite
wanasema kwenye kadhia weka rupia kwani laki ni asilimia ngapi ya ulizolipa? usijali lipia tu maana ukijiuliza sana laki utapata magonjwa yatakayotibiwa kwa mamilioni
 
Nimekuwa nikifanya utafiti katika vyuo vyetu hapa nchini lakini kwa hili mnalolifanya nia dhambi kubwa kwetu sisi wazazi,kutokana na serikali kuanzisha bodi ya mikopo sio wote wanapata,sisi wazazi tunaamua kulipa kutokana mishahara yetu kidogo kidogo ndani ya semista moja tunakuwa tumekamilisha ada ya semista hatuna uwezo wa kulipa kwa mkupuo,hawa jamaa wanawasumbua vijana wetu kwa hili,lingine ambalo nia baya zaidi ni pale tunapolazimishwa kulipia matibabu ya TZS 100,000. hili halikubaliki kama nimemkatia bima ya afya kuna haja gani ya kulipa tena chuoni?huu si wizi au mimi mzazi wake ninamlipia ada na wala haitoki serikalini na ni mkazi wa Moshi na kijana anakaaa nyumbani kwanini nilipe huku huduma za afya zinagharamiwa na mzazi wake huu sio wizi
Nadhani hikli ni tawi la SUA, Hilo swala la matibabu limetiwa ufumbuzi kwani ulikuwa ni mradi wa mtu
 
[aQUOTE=Senetor;2738581]ndio mkome kukimbilia vyuo vya kata.[/QUOTE]

kwa sababu we unasoma chuo cha tarafa? Na wenzako wanasoma chuo cha kata ndo mana unawadharau eh?
 
Naona hili limepigiwa kelele hata hapa SUA naona kwa mwaka huu mambo yamebadilika kidogo tofauti na mwaka jana
 
Kwa utaratibu ninaouelewa ni kuwa,kama Mwanafunzi anayo bima ya afya,chuo kinamtaka alipie shs 49,600/-. Hata wakati chuo kimeanzisha utaratibu wa bima ya afya,kilipigiwa kelele sana.
Ila tatizo ninaloliona sasa ni ada,ada ya Muccobs ni 1,100,000/- hii ada ni kubwa sana.
 
Kwa utaratibu ninaouelewa ni kuwa,kama Mwanafunzi anayo bima ya afya,chuo kinamtaka alipie shs 49,600/-. Hata wakati chuo kimeanzisha utaratibu wa bima ya afya,kilipigiwa kelele sana.
Ila tatizo ninaloliona sasa ni ada,ada ya Muccobs ni 1,100,000/- hii ada ni kubwa sana.

mbona hyo ada iko fair sana mkuu,ebu nenda bagamoyo university,tumain au ifm kama hujadhirai!
 
Nguvu ya umma itumike

ishapitishwa, kama ulimkatia ndugu yako bima, na anasoma elimu ya juu, NHIF wamepitisha wenyewe kuwa wanafunzi walipe tena iyo 49,600/= ambayo mimi naona kama ni double insurance. Sababu hawapewi kadi ingine yakutibiwa, ila wanatumia ile ile ya NHIF.
Walosomea insurance watujuze kuhusu hili la double insurance.
 
Kwa utaratibu ninaouelewa ni kuwa,kama Mwanafunzi anayo bima ya afya,chuo kinamtaka alipie shs 49,600/-. Hata wakati chuo kimeanzisha utaratibu wa bima ya afya,kilipigiwa kelele sana.
Ila tatizo ninaloliona sasa ni ada,ada ya Muccobs ni 1,100,000/- hii ada ni kubwa sana.

nadhani utaratibu ni huo wa kulipia 49,600/= kama tayari una NHIF CARD.
Labda kama mtoto wako anakuibia mdau.
Bima wametoa semina kabisa kwa wenye NHIF MEMBERS Kuwa utalipia iyo hela tena.
 
Back
Top Bottom