Mubaya alishazaliwa?

AMOS JANUARY

Member
Aug 13, 2013
16
3
Namshukuru mungu kunipa nafasi ya pekee kutafakari hiyo slogan kw muda mwing mno isemayo mubaya alishazaliwa? Nikwel kwmb mubaya tayari alishazaliwa kw vigezo vifuatavyo first kuna m2 aitwaye mwizi, mchawi, mula rushwa, muaji hawa wote si wa2 wazuri. Je! Wewe kw fikira zako unahic mubaya tayari aliishazaliwa?
 
jifunza kuunda sentensi zisizo na utata. rudia
kiswahili darasa la tano na hapa siyo mahali pake
 
Hii mutu ya kule Kongo au?
Kama wewe ni mutu ya kule basi baelezee ba mutu ya tizii ikubambe muzuri!!!!!
 
oldbiker.gif
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom