Mubarak ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela

ritz hebu jaribu kuchangia huu uzi sio habari za CDM tu
 
Last edited by a moderator:
Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.
Mkapa alimnyonga hata bila kumfikisha mahakamani!! Huna habari??
 
Aliekua rais wa egypt hosni mubarak amehukumiwa kufungwa maisha jela. Source; aljazeera

Sina shaka huyu babu amevuna alichopanda kwani siku zote madaraka huwa yako hivyo huwa ni matamu sana kuachia ni ngum sana. Mwisho wake ni mbaya sana kama muba na sasa huu uwe endelevu hata kwa viongozi wababe.
 
Ww umaskini ulio nao ambao umesababishwa na yeye Mwl, Nyerere ww huoni huo ni wizi tosha? kuchukua rasilimali ya nchi na kumpa jirani yako bila idhini ya mwenye mali aka mwananchi huo sio wizi ? funguka kijana Nyerere ndio chanzo cha nchi hii kuwa maskini

Riz1 na JK wajifunze, labda wapotee kama Balali!
 
Pole.
Muungano waliuanzisha Nyerere na Sheikh Karume. Umlaumu na Karume pia.

Natamani tutengane tuwaache waunguja na wapemba na nchi zao za Unguja na Pemba (kwani Zenji haitabaki moja).

We umeishiwa, eti kupigana kuzikomboa nchi zilizokuwa bado zinatawaliwa ni kitu kibaya??? hakuna jambo zuri kama kumkomboa anayeonewa.
Kumbe ww bora Rais wako angekuwa Mobutu, Kamuzu Banda, Kenyatta (wote vibaraka wa mabeberu) na hawa vibaraka mamboleo akina Jakaya Kikwete.

1. TUNAIHITAJI JAMHURI YA TANGANYIKA.
2. JK, RIZ-ONE, MKAPA MMEYAONA YA MUBARAK?

Jamhuri ya Tanganyika haitatuondolea ufisadi/umaskini bali itatuletea mafisadi wa UAMSHO/Al Shabaab kutoka Iran!
 
uongozi wa kiafrika ni kama ndoto hivi kwa mubarak kufungwa maisha inamaana gani ya kuwa kiongozi usiojua wajibu wako? si bora ukaishi maisha ya umaskini kuliko kufia ndani ya gereza huku ukipata madhara na magonjwa mbalimbali watawala wetu jifunzeni cheo ni dhamana na wala si kulewa madaraka sheria zipo zinawasubiri mkitoka kwenye madaraka na mwisho nikufa haraka. huyu hakai hata miaka 4 zaidi atakufa sio muda mrefu
 
Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.

ok sawa nyerere lakini alikufa ajanyongwa so what? wanaomfuata wote Janga la Kitaifa nao wanyongwe!!!!!!
 
Cdm bana mna mawazo finyu km punje ya mchanga, mnadhania nchi inachukuliwa kwa kutumbukiza vikaratasi kwenye visanduku tu, ni zaidi ya hapo. Mtaiota sana nchi hii , hatuwapi nchi hii wahuni

Kwani hao wanaotwala, sio kutawala waliipataje? Chadema wanaweza kutumia njia hiyo hiyo, we ongeza mbegu kwenye sehemu zinakotunzwa!
 
_60657446_014919013-1.jpg


There were scenes of jubilation outside the Cairo police academy when the verdict against Egypt's ousted former president Hosni Mubarak was read out.


_60658648_014919297-1.jpg



_60658650_014919099-1.jpg


...and on the streets there was relief when Mubarak was sentenced to life for his role in the killing of protesters in 2011.


_60657444_014919064-1.jpg


Some of the deposed president's supporters reacted with disbelief at the verdict.
 
Imagine hukumu kama hii anapewa Mkapa kwa ufisadi wake alipokuwa madarakani.
 
_60657448_014918816-1.jpg


Police had prepared for demonstrations outside the courtroom ahead of the verdict, and some scuffles did break out.

_60661321_014921068-1.jpg


But as news of the other verdicts spread there was anger too, after Mubarak's two sons and other top officials from the former regime were acquitted.


_60661323_014921143-1.jpg


Inside the courtroom too, people struggled to control their emotions after the months-long trials came to an end.


_60656605_014918899-1.jpg


After 30 years in power, Mubarak is set to spend his final days in the Tora prison.
 
Jamaa anajiweka karibu na Wamerekani akifikiri wanaweza kumsaidia endapo mambo yatakwenda mrama hahahaha. Anatakiwa ajifunze, Americans have neither permanent friends nor permanent enemies but permanent interest.!!

jamaa anauza nchi kwa wazungu hasa wamaarekani tumekwishny! Muulizeni kigamboni inataka kufanywa nini?!
 
Back
Top Bottom