kamanda wa kamanda
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 191
- 75
Aliyewai kua mwenyekiti wa Kwanza wa CHADEMA mkoa wa Mbeya kamanda Oscar Mwambola amefariki jana.
Wanachadema wote Mbeya mnatakiwa kuwepo eneo la msiba ni Kata ya Majengo.
R.I.P Muasisi wetu wa CHADEMA Mbeya.
Wanachadema wote Mbeya mnatakiwa kuwepo eneo la msiba ni Kata ya Majengo.
R.I.P Muasisi wetu wa CHADEMA Mbeya.