Muasisi wa CHADEMA Mbeya Afariki dunia

kamanda wa kamanda

Senior Member
Oct 12, 2013
191
75
Aliyewai kua mwenyekiti wa Kwanza wa CHADEMA mkoa wa Mbeya kamanda Oscar Mwambola amefariki jana.

Wanachadema wote Mbeya mnatakiwa kuwepo eneo la msiba ni Kata ya Majengo.

R.I.P Muasisi wetu wa CHADEMA Mbeya.
 
Alie wai kua mwenyekiti wa Kwanza wa chadema mkoa wa Mbeya kamanda Oscar Mwambola amefariki jana Wanachadema wote mbeya mnatakiwa kuwepo eneo la msiba ni Kata ya Majengo R.I.P Muasisi wetu wa Chadema Mbeya
pole kwa wale wote mliokuwa mnamtgemea..
 
R.I.P kamanda.kazi uliyotuachia ya kuilinda& kuiendeleza CDM tutaifanya kwa moyo na nguvu zetu zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom