imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Lord Abraham Mutai (@ItsMutai) on Twitter
Lord Abraham Mutai amezunguka Somaliland na kujionea Mwenyewe jinsi amani na Upendo ulivyotawala jamhuri hiyo
Huku akisema kiasi yuko Somaliland alishuhudia Sherehe za Uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara kutoka Berbera Port Kwenda Ethiopia
Siku hiyohiyo alipata habari ya Mogadishu on Fire Alshababu wameua watu kama mainzi.
Thak you Lord Abraham Mutai Aterere!
Ukweli daima!
Lord Abraham Mutai amezunguka Somaliland na kujionea Mwenyewe jinsi amani na Upendo ulivyotawala jamhuri hiyo
Huku akisema kiasi yuko Somaliland alishuhudia Sherehe za Uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara kutoka Berbera Port Kwenda Ethiopia
Siku hiyohiyo alipata habari ya Mogadishu on Fire Alshababu wameua watu kama mainzi.
Thak you Lord Abraham Mutai Aterere!
Ukweli daima!