Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #21
Waziri Mkuu kama msimamizi mkuu wa shughuli za serikali hajatoa tamko mpaka hivi sasa. Hebu fikiri tena kuhusu credibility na accountability ya viongozi wetu wa Africa.
Huyu mzee ni hypocrite kama mara ya mwisho anakataa gari mpya ambayo ishanunuliwa na inatumika na mtu mwingine as we speak.
Wakati Mr president anaendelea na cocktail party kama hakuna kilichotokea.ridiculous!!!!!
Aheri mtu ukose hela mfukoni kuliko kukosa busara kichwani.
Kuna mtu alitoa kauli ya aina hii hapa jf na sasa napata kukubaliana nayo. Inasikitisha kweli hivi. Hata kwa hali ya kawaida tu mtu huwezi kuendelea na sherehe za harusi wakati nyumba ya jirani kuna msiba hata kama unaona msiba wenyewe haukuhusu kitu.
Sherehe kwanza, uhai na usalama wa raia wa Tanzania baadaye????