meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Miaka kadhaa imepita baada ya ule unaitwa 'muafaka' kati ya vyama viwili yaani ccm na cuf.
Nakubali kuwa hili lilikuwa ni jambo jema kwa amani ya nchi lakini mimi au wewe kama watanzania hatujui ni makubaliano gani yaliyopelekea muafaka huu.
Inawezekana ccm iliingia 'muafaka' na cuf kwa lengo moja tu,yaani kuendelea kubaki madarakani !kwa upande wa cuf pamoja na sisi kuwabeza sana inawezekana waliingia makubaliano haya wakiwa na malengo ya mbali,ambayo kwa sasa wameanza kuyafaidi.
Nikijaribu kufuatilia kauli na mwenendo wa viongozi wa cuf zanzibar hasa maalim seif nachelea kusema kuwa wana nia thabiti ya kuuvunja muungano na kuhakikisha zanzibar ni taifa huru.
Kama ccm hawakujua hili basi wameumia sana kwani cuf wamedhamiria kusukuma hoja yao hasa ukizingatia wao ni sehemu ya SMZ.
Nampongeza maalim seif kwa kumuingiza kingi makamba!
Ccm wamenasa kwenye tope zito na hawana njia ya kujinasua.
Nakubali kuwa hili lilikuwa ni jambo jema kwa amani ya nchi lakini mimi au wewe kama watanzania hatujui ni makubaliano gani yaliyopelekea muafaka huu.
Inawezekana ccm iliingia 'muafaka' na cuf kwa lengo moja tu,yaani kuendelea kubaki madarakani !kwa upande wa cuf pamoja na sisi kuwabeza sana inawezekana waliingia makubaliano haya wakiwa na malengo ya mbali,ambayo kwa sasa wameanza kuyafaidi.
Nikijaribu kufuatilia kauli na mwenendo wa viongozi wa cuf zanzibar hasa maalim seif nachelea kusema kuwa wana nia thabiti ya kuuvunja muungano na kuhakikisha zanzibar ni taifa huru.
Kama ccm hawakujua hili basi wameumia sana kwani cuf wamedhamiria kusukuma hoja yao hasa ukizingatia wao ni sehemu ya SMZ.
Nampongeza maalim seif kwa kumuingiza kingi makamba!
Ccm wamenasa kwenye tope zito na hawana njia ya kujinasua.