Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Kwa maoni yangu; Tuahirishe hili la Muungano for the next 5-10 years! Tuendeleee na vdi fungu vingine!!! Asante. Tukubaliane kutokukubaliana tusonge mbele!
Najaribu kuepuka kukosa katiba kabisa hence loose-loose situation!!!! Yaani Kubaki na katiba ya 1977!!!
Wakati tuki-maintain current structure all wins win-win; in the sense kwamba ibara nyingi ni positive including Tume ya uchaguzi, kukomesha ufisadi etc...
Muhimu upinzani kujua kwamba hapa walipo wame-gain sana!!! It is not necessary to get all in first attempt mengine yatapatika baadaye!
Najaribu kuepuka kukosa katiba kabisa hence loose-loose situation!!!! Yaani Kubaki na katiba ya 1977!!!
Wakati tuki-maintain current structure all wins win-win; in the sense kwamba ibara nyingi ni positive including Tume ya uchaguzi, kukomesha ufisadi etc...
Muhimu upinzani kujua kwamba hapa walipo wame-gain sana!!! It is not necessary to get all in first attempt mengine yatapatika baadaye!