Mtwara: Watoto wanaharibika kimaadili kwa kukosa usimamizi mzuri kutoka kwa wazazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,145
Habarini wazee

Wiki moja ilio pita nilikuwa mtwara katika harakati za kutoe elimu ya GBV tulifanya zoezi letu kwa ufasaha kabisa baada ya kumaliza upande wa watu wazima tukaenda upande wa watoto

Huku ndiko tukagundua tabia ambazo watoto wameiga kwa kiasi kikubwa na wazazi wao wakijua na kushindwa kuwakemea watoto wao

Ni utaratibu wetu baada ya kumaliza kutoa elimu kwa watoto tunawapa fursa za kuchagua wimbo ambao wanaupenda wacheze na tucheze kwa pamoja kuwafanya watoto wafurahi

Ndipo walipo chagua wimbo wao unaoitwa Mseng* nani? Nilistaajabu kusikia jina la hilo wimbo nikauliza wenyeji wangu uhu wimbo kaimba nani? Na unamaana gan?

Wakasema wimbo uho kuna mtu hapo mtwara aliomba taraka kwa mumewe kwa muda uho mumewe hakuwa tayali kutoa taraka kwaio wakaendelea kuishi pamoja ina maana walielewana

Sasa ikafika wakati wa kumualua mtoto ndipo mzee naye akaamua kumuacha mkewe sasa mkewe alipopokea taraka akachana hiyo taraka ndio mwanaume akaamua kutunga uho wimbo

Nikajiuliza kwanini sasa watoto wanaupenda uho wimbo hakunijibu hila dj alivyo weka uho wimbo watoto walicheza walifura sana nikawa najiuliza kwanini basata hawakufungia uhu wimbo mpaka leo sikupata jibu
 
Sijaona mahali au matendo ya wazazi yanayowaharibu watoto zaidi ya watoto kuchagua wimbo wenye maudhui yasiyofaa. Na zaidi ulipaswa kuwaelimisha hilo pia kwa kuwa hawakuwa na wazazi wao bali walikuwa nanyi watu wazima wakati wanachagua hiyo nyimbo.
 
Sijaona mahali au matendo ya wazazi yanayowaharibu watoto zaidi ya watoto kuchagua wimbo wenye maudhui yasiyofaa. Na zaidi ulipaswa kuwaelimisha hilo pia kwa kuwa hawakuwa na wazazi wao bali walikuwa nanyi watu wazima wakati wanachagua hiyo nyimbo.

Lakini wazazi kama wengekuwa wana wakataza au wanakemea hawa watoto wange acha hila baada ya hapo tuliwaelimisha kwa kuwatenga kimakundi kulingana na umri wao kila mmoja aka kaa nao na kuongea nao
 
Habarini wazee

Wiki moja ilio pita nilikuwa mtwara katika harakati za kutoe elimu ya GBV tulifanya zoezi letu kwa ufasaha kabisa baada ya kumaliza upande wa watu wazima tukaenda upande wa watoto

Huku ndiko tukagundua tabia ambazo watoto wameiga kwa kiasi kikubwa na wazazi wao wakijua na kushindwa kuwakemea watoto wao

Ni utaratibu wetu baada ya kumaliza kutoa elimu kwa watoto tunawapa fursa za kuchagua wimbo ambao wanaupenda wacheze na tucheze kwa pamoja kuwafanya watoto wafurahi

Ndipo walipo chagua wimbo wao unaoitwa Mseng* nani? Nilistaajabu kusikia jina la hilo wimbo nikauliza wenyeji wangu uhu wimbo kaimba nani? Na unamaana gan?

Wakasema wimbo uho kuna mtu hapo mtwara aliomba taraka kwa mumewe kwa muda uho mumewe hakuwa tayali kutoa taraka kwaio wakaendelea kuishi pamoja ina maana walielewana

Sasa ikafika wakati wa kumualua mtoto ndipo mzee naye akaamua kumuacha mkewe sasa mkewe alipopokea taraka akachana hiyo taraka ndio mwanaume akaamua kutunga uho wimbo

Nikajiuliza kwanini sasa watoto wanaupenda uho wimbo hakunijibu hila dj alivyo weka uho wimbo watoto walicheza walifura sana nikawa najiuliza kwanini basata hawakufungia uhu wimbo mpaka leo sikupata jibu
Tatizo linaanzia kwako,Sijui ulikuwa unatoa Elimu Gani??

Watoto wanachagua nyimbo ya matusi na wewe ukakubali kuwawekea nani tatizo hapo ? Watoto au wewe MWENYEWE ni sehemu ya tatizo?

Nilitegemea ungetoa Elimu ya ubaya WA baadhi ya maneno ya huo Wimbo ukawaelimisha waache kuuimba naa kuucheza badala yake nawewe ukasaidia kuwawekea na wewe ukaanza kuchezea nao!!! Watoto wameondoka na mtazamo kuwa Wimbo ni mzuri unefurahiwa hata na wageni na wakaucheza !!!; Mi naona wewe ndo tatizo.

Pia uandishi wako nao ni WA mashaka. Angaria makosa ya uandishi Kwenye kichwa Cha habari yako "Kimahadili" badala ya Kimaadili.
 
Lakini wazazi kama wengekuwa wana wakataza au wanakemea hawa watoto wange acha hila baada ya hapo tuliwaelimisha kwa kuwatenga kimakundi kulingana na umri wao kila mmoja aka kaa nao na kuongea nao
mambo yanayofanywa na watoto wanapokua wao kwa wao, unadhani wazazi yote wanayajua ili wayakemee.

Tumekua tukiona video za watoto wetu wakifanya matukio ya aibu, unadhani wazazi wanayajua hayo, mfano tukio la kwenye maafari ya shule moja, ambayo kwa sasa imefungiwa, watito wanaonekana kwenye video, wako wawili wawili wa kiume na wakike, wakitakiana.

Mbaya zaidi wanafanya hivyo kwa kuruhisu miili kugusana, na kushikana popote, je unadhani wazazi walikua wanalijua hili.

Sasa wewe kama huna uelewa namna hii, ni elimu gani unaitoa huko.
 
mambo yanayofanywa na watoto wanapokua wao kwa wao, unadhani wazazi yote wanayajua ili wayakemee.

Tumekua tukiona video za watoto wetu wakifanya matukio ya aibu, unadhani wazazi wanayajua hayo, mfano tukio la kwenye maafari ya shule moja, ambayo kwa sasa imefungiwa, watito wanaonekana kwenye video, wako wawili wawili wa kiume na wakike, wakitakiana.

Mbaya zaidi wanafanya hivyo kwa kuruhisu miili kugusana, na kushikana popote, je unadhani wazazi walikua wanalijua hili.

Sasa wewe kama huna uelewa namna hii, ni elimu gani unaitoa huko.

N elewa hili hila utakiwi kuangalia upande mmoja tu angalia na upande wapili kama hujui tabia za watoto wako na matukio anayofanya mtoto wako basi wew hauna muda na watoto wako
 
N elewa hili hila utakiwi kuangalia upande mmoja tu angalia na upande wapili kama hujui tabia za watoto wako na matukio anayofanya mtoto wako basi wew hauna muda na watoto wako
Wewe unaonekana umri wako bado mdogo, kuna mdao hapo juu, wewe mwenye kulelewa vizuri, ulikubaliana vipi kusikiliza nyimbo isikua na maadili bila kuwakataza, mbaya zaidi ukataka maana ya wimbo huo.

Ungetuambia umeenda kufanya utafiti juu ya maadili sawa, ila kwenda kutoa elimu, alafu mnakubaliana yasiyofaa.
 
😁😁nimekumbuka mbali kwenye ngoma za uzaramoni huko moro,ulikuwa unaimbwa wimbo mmoja"sizai tenaaa aaa sizai tena hata ukit......,ukinf............sizai tena"

aaaaah siku dogo kajisahau akauimba mbele ya mzee wake😅😅tukalimwa ban ya kuhudhulia sherehe za ngoma mpaka tulipokuja kuhama huko.
 
Habarini wazee

Wiki moja ilio pita nilikuwa mtwara katika harakati za kutoe elimu ya GBV tulifanya zoezi letu kwa ufasaha kabisa baada ya kumaliza upande wa watu wazima tukaenda upande wa watoto...
Sio Mtwara tu, hii ni global crisis. Wazazi wapo bize na maisha kwa hiyo watoto wanalelewa na wafanya kazi, social media, internet na majirani au watu wengine tofauti na wazazi
 
Habarini wazee

Wiki moja ilio pita nilikuwa mtwara katika harakati za kutoe elimu ya GBV tulifanya zoezi letu kwa ufasaha kabisa baada ya kumaliza upande wa watu wazima tukaenda upande wa watoto

Huku ndiko tukagundua tabia ambazo watoto wameiga kwa kiasi kikubwa na wazazi wao wakijua na kushindwa kuwakemea watoto wao

Ni utaratibu wetu baada ya kumaliza kutoa elimu kwa watoto tunawapa fursa za kuchagua wimbo ambao wanaupenda wacheze na tucheze kwa pamoja kuwafanya watoto wafurahi

Ndipo walipo chagua wimbo wao unaoitwa Mseng* nani? Nilistaajabu kusikia jina la hilo wimbo nikauliza wenyeji wangu uhu wimbo kaimba nani? Na unamaana gan?

Wakasema wimbo uho kuna mtu hapo mtwara aliomba taraka kwa mumewe kwa muda uho mumewe hakuwa tayali kutoa taraka kwaio wakaendelea kuishi pamoja ina maana walielewana

Sasa ikafika wakati wa kumualua mtoto ndipo mzee naye akaamua kumuacha mkewe sasa mkewe alipopokea taraka akachana hiyo taraka ndio mwanaume akaamua kutunga uho wimbo

Nikajiuliza kwanini sasa watoto wanaupenda uho wimbo hakunijibu hila dj alivyo weka uho wimbo watoto walicheza walifura sana nikawa najiuliza kwanini basata hawakufungia uhu wimbo mpaka leo sikupata jibu

Dini nayo inachangia !.... utamalizia
 
Back
Top Bottom