Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,262
Hahahahaha nmecheka sana
Angalia isije ikawa umejioverdose jamaniYani hapa nilipo namalizia bakuli ya saba wazee
Mahali popote palipojaa imani za kishirikina, habari za kizushi kama za huyo mtoto ni rahisi sana watu wa maeneo hayo kuziamini. Mikoa ya Lindi na Mtwara ushirikina umeenea sana sababu Ukristo haupo sana maeneo hayo. Asilimia kubwa ya wenyeji wa mikoa hiyo ni Waislamu na sote tunajua Uislamu na Ushirikina ni kama "pua na mdomo".
Watu wenye imani ya YESU KRISTO kamwe hawawezi kuamini upuuzi kama huu sababu kinga ya Wakristo ni damu ya YESU KRISTO na siyo uji wa muhogo.
Kwa hiyo wakristo wenzio walikunywa huo uji utawaweka kundi gani au ndo Mwili bahari akili punje ya mchele.Mahali popote palipojaa imani za kishirikina, habari za kizushi kama za huyo mtoto ni rahisi sana watu wa maeneo hayo kuziamini. Mikoa ya Lindi na Mtwara ushirikina umeenea sana sababu Ukristo haupo sana maeneo hayo. Asilimia kubwa ya wenyeji wa mikoa hiyo ni Waislamu na sote tunajua Uislamu na Ushirikina ni kama "pua na mdomo".
Watu wenye imani ya YESU KRISTO kamwe hawawezi kuamini upuuzi kama huu sababu kinga ya Wakristo ni damu ya YESU KRISTO na siyo uji wa muhogo.