Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Nyumba ya mkazi mmoja wa mtwa yapigwa Radi na Mali zote kuteketea kwa moto.
Habari zaidi
Nyumba na mali zote za mkazi wa kijiji cha Tengulengu kata ya mkwendu wilayani Newala mkoani Mtwara bwana Hassan Namtema.
Vimeteketea kwa kupigwa na Radi. Pia watu wanne kati ya saba walio kuwa kwenye nyumba hiyo wamejeruhiwa na kupelekwa zahanati ya mkwendu kwa ajili ya matibabu.
Nyumba hiyo ilipigwa na Radi wakati mvua kubwa ikinyesha.
~Diwani wa kata hiyo ya mkwendu, Hamis Akayoha amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
JamiiForums inatoa pole kwa familia hiyo.
Habari zaidi
Nyumba na mali zote za mkazi wa kijiji cha Tengulengu kata ya mkwendu wilayani Newala mkoani Mtwara bwana Hassan Namtema.
Vimeteketea kwa kupigwa na Radi. Pia watu wanne kati ya saba walio kuwa kwenye nyumba hiyo wamejeruhiwa na kupelekwa zahanati ya mkwendu kwa ajili ya matibabu.
Nyumba hiyo ilipigwa na Radi wakati mvua kubwa ikinyesha.
~Diwani wa kata hiyo ya mkwendu, Hamis Akayoha amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
JamiiForums inatoa pole kwa familia hiyo.