nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 427
Bibi wa MTWARA alikuwa anasumbuliwa na tumbo.
Majuzi akaenda Hosptal. Dk. akampima akamwambia
"TUMBO LIMEJAA GESI utafanyiwa upasuaji Dar".
Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe; Hii gesi
yangu natafuta mwekezaji mwenyewe, haipelekwi
Dar ng'o, Mungu ametujalia wana Ntwala, Gesi baharini hadi matumboni!
Majuzi akaenda Hosptal. Dk. akampima akamwambia
"TUMBO LIMEJAA GESI utafanyiwa upasuaji Dar".
Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe; Hii gesi
yangu natafuta mwekezaji mwenyewe, haipelekwi
Dar ng'o, Mungu ametujalia wana Ntwala, Gesi baharini hadi matumboni!