Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,388
- 1,058
Yaani hotel ambayo mwaka mmoja uliopita ilikua lazima ufanye booking leo hii tupo wateja wa tatu tu.
Yaani hotel kubwa namna hii bei imeshuka to the minimum kabisa.
R.I.P Ndanda kucheleeeee mtajijua wenyewe wamakonde na papara zenu za gas.
Yaani hotel kubwa namna hii bei imeshuka to the minimum kabisa.
R.I.P Ndanda kucheleeeee mtajijua wenyewe wamakonde na papara zenu za gas.