Mtwara: Aliyebuni ramani ya stand mpya ya mabasi hana akili

Jaribu kwanza kuulizia kabla ya kirusha utumbo wako.

Hii ni stend ya muda, wakati wakiendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kujenga stend ya kisasa.

Majengo yote yaliyojengwa eneo hilo, yatakuja kubomolewa pindi watakapo pata fedha za ujenzi wa stend ya kisasa.

Kumbuka pia Mtwara ipo kwenye mradi wa TSCP ila wao priority yao haikuwa stand so may be next phase kama watapata fedha wanaweza kujenga stend ya kisasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utumbo ni huu unaoandika wewe, hii si stand ya muda kama unavyodai na ni upumbavu kuruhusu watu kujenga fremu kiholela na nyie kujenga banda la kuku na kuliita jengo la kupumzika abiria, tangu lini na wapi uliona stand ya muda inajengwa majengo ya kudumu? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na ardhi na mtazidi kuwa duni mpaka mwisho wa dahari. Bora mngeacha stand ya zamani iendelee kutumika wakati mkitafuta pesa za ujenzi wa stand mpya kuku pori nyie.
 
Jaribu kwanza kuulizia kabla ya kirusha utumbo wako.

Hii ni stend ya muda, wakati wakiendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kujenga stend ya kisasa.

Majengo yote yaliyojengwa eneo hilo, yatakuja kubomolewa pindi watakapo pata fedha za ujenzi wa stend ya kisasa.

Kumbuka pia Mtwara ipo kwenye mradi wa TSCP ila wao priority yao haikuwa stand so may be next phase kama watapata fedha wanaweza kujenga stend ya kisasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Engineer naona umekuja kwa moto sana. Wewe engineeer ni kilaza tu, kwañin msiache stend ile ya zaman mpaka mtakapopata hizo pesa?
 
Jaribu kwanza kuulizia kabla ya kirusha utumbo wako.

Hii ni stend ya muda, wakati wakiendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kujenga stend ya kisasa.

Majengo yote yaliyojengwa eneo hilo, yatakuja kubomolewa pindi watakapo pata fedha za ujenzi wa stend ya kisasa.

Kumbuka pia Mtwara ipo kwenye mradi wa TSCP ila wao priority yao haikuwa stand so may be next phase kama watapata fedha wanaweza kujenga stend ya kisasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mngejenga part ya proposal yenye eneo la kupumzikia abiria, ili mje mu integrate mtakapo pata fedha za kujengea kituo chote! Badala ya jenga bomoa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanabodi

Manispaa ya Mtwara/Mikindani imeanza ujenzi wa kituko cha karne katika eneo la Mkanaledi na kubatiza kituko hicho kuwa eti ndiyo stand ya mkoa.

Mkuu wa Mkoa yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, wahandisi wapo halafu wote fikra zao zinaishia kuja na kituko cha karne.

Ni bora wangetoa hata ramani ya kisasa wawaruhusu wawekezaji kujenga kwa kufuata ramani hiyo kuliko hiki walichokifanya.

Anyway huenda wakazi wa huko wanapenda.
View attachment 1044641
Engineer tembelea stand ya Mbinga au ya Korogwe upate akili.


Hiyo ni Stendi au ni "BAR"? Imekosa tu Counter na viti vya kukalia - watu wanywe bia hapo.
 
Back
Top Bottom