Mtwara: Aliyebuni ramani ya stand mpya ya mabasi hana akili

Eng. Mpaki ni mpuuzi, kwa wakandarasi tuliowahi fanya kazi na huyu tunamjua..
 
Aisee.. Katika designs za stendi za mabasi hapa Tanzania, sidhani kama kuna ambayo inaifikia Mikindani aisee.. Sasa mkuu hicho ulichoweka hapa kinanishangaza maana ni tofauti kabisa na designs iliofanywa na kukabidhiwa kwa Manispaa ya Mtwara hapo.. Tuna shida kubwa aiseee..
Pale Manispaa ya Mtwara wamejaa mbumbumbu na watu wenye mtazamo wa mwaka 70..

Engineers waliombwa wadesign ramani ya stand ya kisasa, wakafanya hivyo lakini ikafungiwa kabatini mpaki akaja na ramani yake.
 
Kama naona mchana abiria wanavyochomwa na jua.
Kwa kuangalia tu hilo jengo mtoa fedha ni serikali na kama mjuavyo tunabana matumizi hivyo tuelewane. Hizo stand nyingine mnazozisifia najua Kama mbili au tatu zilifadhiliwa na World Bank ndio maana kilichotoka kina ubora.

Kwa kweli Kama hilo jengo ni kweli mmewakosea Sana wakazi wa Mtwara labda kama mlipanga kupageuza soko LA samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanabodi

Manispaa ya Mtwara/Mikindani imeanza ujenzi wa kituko cha karne katika eneo la Mkanaledi na kubatiza kituko hicho kuwa eti ndiyo stand ya mkoa.

Mkuu wa Mkoa yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, wahandisi wapo halafu wote fikra zao zinaishia kuja na kituko cha karne.

Ni bora wangetoa hata ramani ya kisasa wawaruhusu wawekezaji kujenga kwa kufuata ramani hiyo kuliko hiki walichokifanya.

Anyway huenda wakazi wa huko wanapenda.
View attachment 1044641
Engineer tembelea stand ya Mbinga au ya Korogwe upate akili.
Mbona nzuri, Lina muundo wa JayFong.
 
Kama naona mchana abiria wanavyochomwa na jua.
Kwa kuangalia tu hilo jengo mtoa fedha ni serikali na kama mjuavyo tunabana matumizi hivyo tuelewane. Hizo stand nyingine mnazozisifia najua Kama mbili au tatu zilifadhiliwa na World Bank ndio maana kilichotoka kina ubora.

Kwa kweli Kama hilo jengo ni kweli mmewakosea Sana wakazi wa Mtwara labda kama mlipanga kupageuza soko LA samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mwambie mtu unayemwamini apige picha akutumie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kwanza kuulizia kabla ya kirusha utumbo wako.

Hii ni stend ya muda, wakati wakiendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kujenga stend ya kisasa.

Majengo yote yaliyojengwa eneo hilo, yatakuja kubomolewa pindi watakapo pata fedha za ujenzi wa stend ya kisasa.

Kumbuka pia Mtwara ipo kwenye mradi wa TSCP ila wao priority yao haikuwa stand so may be next phase kama watapata fedha wanaweza kujenga stend ya kisasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kwanza kuulizia kabla ya kirusha utumbo wako.

Hii ni stend ya muda, wakati wakiendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kujenga stend ya kisasa.

Majengo yote yaliyojengwa eneo hilo, yatakuja kubomolewa pindi watakapo pata fedha za ujenzi wa stend ya kisasa.

Kumbuka pia Mtwara ipo kwenye mradi wa TSCP ila wao priority yao haikuwa stand so may be next phase kama watapata fedha wanaweza kujenga stend ya kisasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwongo mkubwa, mtoa post yuko sahihi wewe ndo uulize. Au we ndo engineer? Nimewahi kuuliza kwa wahusika baada ya kuiona na nikaambiwa hiyo ndiyo stand yenu huko kusini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom