Mtuweke kwenye maombi, mambo si mambo huku!

Outlier

JF-Expert Member
Dec 28, 2008
323
17
ATTENTION
Classes Cancelled Friday, May 1 - Call 432-News (6397) for Updates

Suala la swine flu limebisha hodi mtaani kwetu.

Leo tumepata tangazo kuwa kuna case imegundulika hapa shuleni kwetu na as a result shule imefungwa till further notice.

Najua inabidi tujihadhari binafsi lakini sala pia zasaidia kwa hiyo tuombeane tafadhali.

Hapa na-sweat!
 
Suala la swine flu limebisha hodi mtaani kwetu.

Leo tumepata tangazo kuwa kuna case imegundulika hapa shuleni kwetu na as a result shule imefungwa till further notice.

Najua inabidi tujihadhari binafsi lakini sala pia zasaidia kwa hiyo tuombeane tafadhali.

Hapa na-sweat!

Mtaani wapi....TZ or somewhere else? whatever the case, take care mkuu, hayo mafua ni noma!
 
Poleni sana, tutawakumbuka kwenye sala zetu.
 
Mzee usipanic..unaweza hata ukapata hayo mafua na uka-recover..ni matter of kuyawahi.
 
Pole Mkuu, Zingatia ushauri wa wataalam, Epuka misongamano, na vyote viwezavyo kukunatisha Mungu atakusaidia.
 
Mkuu Outlier,
hapa jirani zangu wameamua kuteketeza kitimoto wote, mawe mtindo mmoja mitaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom