Mfua suleiman
Member
- Feb 27, 2014
- 60
- 62
NUKUU:
"Pamoja na bei ya nyanya kushuka tunaendelea kulima" - Peter Msigwa
(Mwisho wa Kunukuu)
Maneno hayo na picha hizi zimewekwa kwenye Facebook Akaunt ya Mbunge wa Iringa Mjini Ndg. Peter Msigwa na yeye mwenyewe.
MUHIMU:
Haki za watoto zipo wapi?
Kama Msigwa angekua ni mzazi wa watoto hawa angekubali watoto wake kufanyiwa ukatili wa aina hii?
Dada yangu Hajjat Mtarajiwa Ummy Mwalimu Wizara yako ina dhamana ya jambo hili na natarajia kuona haki ya watoto hawa inalindwa na hatua stahiki kwa mwajili wao Ndg. Msigwa zinachukuliwa.
"Tuungane pamoja kulinda haki za watoto"
[HASHTAG]#MtotoWamwenzioNiWako[/HASHTAG]
"Pamoja na bei ya nyanya kushuka tunaendelea kulima" - Peter Msigwa
(Mwisho wa Kunukuu)
Maneno hayo na picha hizi zimewekwa kwenye Facebook Akaunt ya Mbunge wa Iringa Mjini Ndg. Peter Msigwa na yeye mwenyewe.
MUHIMU:
Haki za watoto zipo wapi?
Kama Msigwa angekua ni mzazi wa watoto hawa angekubali watoto wake kufanyiwa ukatili wa aina hii?
Dada yangu Hajjat Mtarajiwa Ummy Mwalimu Wizara yako ina dhamana ya jambo hili na natarajia kuona haki ya watoto hawa inalindwa na hatua stahiki kwa mwajili wao Ndg. Msigwa zinachukuliwa.
"Tuungane pamoja kulinda haki za watoto"
[HASHTAG]#MtotoWamwenzioNiWako[/HASHTAG]