Mkuu haujaelewa hivi vitu viko kwa mujibu wa sheria na iliyotoa tangazo hilo ni halimashauri mkuu?Usiwe na wivu huu ni utaratibu kwa kuzingatia Kanuni za utumishi wa uma mkuuFanya mambo JPM maana nilikuwa nikishangaa sana mtumishi anachukua mshahara na bado hapo hapo anapata mkopo wa board..wacha tuisome number wote..
Wenye Mamlaka ya kusema hivi ni Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa umma na kujiendeleza ni haki ya Mtumishi na ipo katika muundo wa utumishi ila sijajua hii Wilaya inatumia vigezo gani?>Mtumishi atakayekwenda kusomea FIRST DEGREE anatakiwa achukue LIKIZO ISIYO NA MALIPO na hastahili kulipwa chochote na Mwajiri wake ikiwa ni pamoja na kutolipwa Mshahara kwakuwa HAYUPO KAZINI.
>Hakuna malipo yoyote ya UHAMISHO kwa Mtumishi atakayehamishwa umbali usiozidi kilometa 10.
Acha roho ya korosho wewe hiyo hela hutapewa wewe
Hilo ni agizo la Wilaya Mkuu , Utumishi hawajatoa huo waraka na ni easy tu kumchalenge huyo Afisa utumishi kwa kufuata kanuni za utumishi wa uma, standing orders na muundo wa ajira yakoHuo waraka ni wa wilay moja lakini kitu kama hicho hakiwezi kuwa cha halmashauri moja ila ni maagizo toka utumishi makao makuu na kila halmashauri inajulisha watumishi wake kwa wakati wake
hahahahaaa.....ni hatari.nafikiri sasa hii kasi ya serikali imepitiliza na kwenye kona inalala na 120.
Sema nembo ya halmashauri husika mhuri kwa tangazo kama hilo silazimaHabari yenyewe haina muhuri, alafu kama sijaona vizuri ni ya kutoka wilaya moja, hii haiwezi kuwa ya taifa, sidhani kama tunapaswa kuitilia maanani, hadi hapo mamlaka za juu zitakapotoa ukweli wa hii
wewe ndio hauelewi mkuu.Huyo wa 9o% ni yule anayejiendeleza zaidi ya bachelor na anatakiwa awe amemaliza miaka 3 katika kituo cha kazi.Hivi wewe uliendika uliisoma barua ama umekimbilia kupost tu. Maana barua inaonesha atalipwa 90% ya mshahara ww unasema hakuna mshahara,
sisi tuliopo masomoni sasa tufanyeje? je turudi kazini kwanza au tufanyeje ?
Hapo ndo na mm sielewi mana Chuo Kikuu Huria hakina kozi za kada zote. "Government works on papers", ngoja tusubiri waraka kwanza.Kwahiyo inamaana hata mtu mwenye diploma ya engineering akitaka kujiendeleza atasoma kupitia Open University??
Kweli kila zama na kitabu chake!!
E-learning in biomedical engineer ,tellecomunication engineering du sipati picha elimu itakavyokuwa ngumuKwahiyo inamaana hata mtu mwenye diploma ya engineering akitaka kujiendeleza atasoma kupitia Open University??
Kweli kila zama na kitabu chake!!