Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Mara nyingi sana (sio zote), hizi UN Agencies zinapenda kuchukua watu ambao tayari wana experience ya kufanya kazi na NGOs.Bandugu salama?
Nadhani humu nitapata jibu la jambo langu ambalo limekuwa likinisumbua kwa miaka.
Mimi ni mtumishi wa Umma wa Halmashauri mwenye miaka 31.
Niliajiriwa 2012 (nikiwa na Diploma, nikawa Afisa mdogo sana (uongozi wangu ulikuwa ndani ya kata).
2013 nikaenda Shule na kupata Bachelor, na 2016 nikaunga Masters.
Nilirudi 2018 kazini, nikahamia bomani na sasa ni Kaimu Mkuu wa Idara.
Tokea 2020 nimekuwa nikiapply sana Kazi kwenye international Organisations kama SADC, AU, UN, EAC na nyengine kibao ila sijawahi itwa hata interview.
Na kinachonishangaza ni kwamba hizi ajira huwa zinatangazwa na Wizara ya Utumishi kupitia website yao.
Nimekuwa nikiapply sana ila sijawahiitwa hata interview.
Sasa bandugu hebu naomba muongozo na Msaada wa kupata hizi post.
1. Je, nakosea kuandika CV?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo
2. Nakosea kuandika Cover letter?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo.
Mwenzenu natamani sana kwenda kufanya Kazi huko NAIROBI, GENIVA, ADDIS ABABA na kwengineko.
Rohoni naona kabisa Halmashauri HAINITOSHI.
Nahitaji big challenge in my employment.
ASANTENI.
#YNWA
Au kama upo kwenye kitengo flani Serikalini ambacho kuna programmes za UN unazirun, ni rahisi kukuchukua kwani tayari wanakuwa wameshauona weledi wako (evidence zipo)
Ushauri ni kwamba kama una vision ya kuingia UN huko mbele ya safari, anza kuapply kazi kwenye hizi non UN International organisations (INGOs) kwanza hapa Tanzania. Ukipata na ukafanya angalau miezi 6, unaweza sasa kuanza kuapply za UN au hata INGO nje ya Nchi
CV yako ina pages ngapi? Kama una experience ya kazi mbili tu, UN tena nje ya mipaka huwezi kupata .
Kila la kheri