Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,798
- 13,041
Bandugu salama?
Nadhani humu nitapata jibu la jambo langu ambalo limekuwa likinisumbua kwa miaka.
Mimi ni mtumishi wa Umma wa Halmashauri mwenye miaka 31.
Niliajiriwa 2012 (nikiwa na Diploma, nikawa Afisa mdogo sana (uongozi wangu ulikuwa ndani ya kata).
2013 nikaenda Shule na kupata Bachelor, na 2016 nikaunga Masters.
Nilirudi 2018 kazini, nikahamia bomani na sasa ni Kaimu Mkuu wa Idara.
Tokea 2020 nimekuwa nikiapply sana Kazi kwenye international Organisations kama SADC, AU, UN, EAC na nyengine kibao ila sijawahi itwa hata interview.
Na kinachonishangaza ni kwamba hizi ajira huwa zinatangazwa na Wizara ya Utumishi kupitia website yao.
Nimekuwa nikiapply sana ila sijawahiitwa hata interview.
Sasa bandugu hebu naomba muongozo na Msaada wa kupata hizi post.
1. Je, nakosea kuandika CV?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo
2. Nakosea kuandika Cover letter?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo.
Mwenzenu natamani sana kwenda kufanya Kazi huko NAIROBI, GENIVA, ADDIS ABABA na kwengineko.
Rohoni naona kabisa Halmashauri HAINITOSHI.
Nahitaji big challenge in my employment.
ASANTENI.
#YNWA
Nadhani humu nitapata jibu la jambo langu ambalo limekuwa likinisumbua kwa miaka.
Mimi ni mtumishi wa Umma wa Halmashauri mwenye miaka 31.
Niliajiriwa 2012 (nikiwa na Diploma, nikawa Afisa mdogo sana (uongozi wangu ulikuwa ndani ya kata).
2013 nikaenda Shule na kupata Bachelor, na 2016 nikaunga Masters.
Nilirudi 2018 kazini, nikahamia bomani na sasa ni Kaimu Mkuu wa Idara.
Tokea 2020 nimekuwa nikiapply sana Kazi kwenye international Organisations kama SADC, AU, UN, EAC na nyengine kibao ila sijawahi itwa hata interview.
Na kinachonishangaza ni kwamba hizi ajira huwa zinatangazwa na Wizara ya Utumishi kupitia website yao.
Nimekuwa nikiapply sana ila sijawahiitwa hata interview.
Sasa bandugu hebu naomba muongozo na Msaada wa kupata hizi post.
1. Je, nakosea kuandika CV?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo
2. Nakosea kuandika Cover letter?
Mwenye muongozo (link) anipe nione format waitakayo.
Mwenzenu natamani sana kwenda kufanya Kazi huko NAIROBI, GENIVA, ADDIS ABABA na kwengineko.
Rohoni naona kabisa Halmashauri HAINITOSHI.
Nahitaji big challenge in my employment.
ASANTENI.
#YNWA