Tuanze na aliebeba 1.5 trillion hata kama yupo ahera tuchukue maliza zakeHuyo alobeba 15m ni Meneja wa Kinondoni hebu achunguzwe
wamekuelewa kweli hapa mkui?Alikuwa kiboko wa ufisadi katika mashirika ya uma.
Si tulikubaliana Ufisadi wote uliisha kwenye Serikali ya Shujaa wa Afrika?
Jinsia take huyo mtumishi tafadhaliWakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
kwenda zako huko.Acha ujinga mtu anaeleza ufisadi wa Erio wewe unataka kumtetea, sasa keshatumbuliwa sjui utamlamba nani tena miguu
Si tulikubaliana Ufisadi wote uliisha kwenye Serikali ya Shujaa wa Afrika?
kwenda zako huko.Acha ujinga mtu anaeleza ufisadi wa Erio wewe unataka kumtetea, sasa keshatumbuliwa sjui utamlamba nani tena miguu
Rubbish ccm inapinga ufisadi kuanzia lini?Vita ya ufisadi ni endelevu, ndiyo maana mahakama zakushughulikia mafisadi hazijafutwa, na ilani ya CCM ya 2020 inazidi kusisitiza mapambano dhidi ya ufisadi.
Ukumbuke neno ufisadi ni neno la jumla linalojumuisha maneno ya wizi, rushwa,uzandiki, utapeli, na mengine kama hayo. Katika jamii inayoishi mambo haya udhibitiwa, lakini ni nadra sana kuyaondoa kabisa.
Leta swali lingine.
kwenda zako huko.Acha ujinga mtu anaeleza ufisadi wa Erio wewe unataka kumtetea, sasa keshatumbuliwa sjui utamlamba nani tena miguu
Ndio yale ya kuangalia documents tu, kama ziko poa basi hakuna shida hakuna reasoningWakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Angetapika kwani Erio ni kabila gani?Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Si tulikubaliana kuwa ufisadi uliisha wakati wa jiwe ?Jpm angekuwepo angezitapika
Angeztoa kwenye matundu yote😀😀Jpm angekuwepo angezitapika
Syo walolipwa tu kuna walojipa uungu mtu nao watapike hup uungu mtuAngeztoa kwenye matundu yote
Fuso ya nini?Halafu milioni zetu fudenge hawataki kutoa mpaka ufikishe miaka 55 halafu wao wanapewa mili 26 kutoka posta hadi kinondoni wakati pale ukichukua fuso haizidi laki usafiri.
Ramadhan Dau ndio aliasisi huu mchezoWakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.