MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.